• Waumini Kanisa la Moravian Tanzania watakiwa kutochoka kuwasaidia Wenye uhitaji.

    Waumini Kanisa la Moravian Tanzania watakiwa kutochoka kuwasaidia Wenye uhitaji.0

    Na, Emesto Eliudy, Dar Es Salaam. Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Mashariki Limewataka waumini wa Kanisa Hilo na watanzania Kwa ujumla kutochoka kuwasaidia watu waishio katika mazingira Magumu ikiwa ni sehemu Yao ya Ibada Kwa Mungu. Kauli hiyo ilitolewa asubuhi ya Leo Jijini Dar Es Salaam na Mwenyekiti wa Kanisa Hilo Jimbo la Mashariki,

    READ MORE
  • MAKAMU WA RAIS: SERIKALI INATHAMINI MCHANGO WA MADHEHEBU YOTE YA DINI

    MAKAMU WA RAIS: SERIKALI INATHAMINI MCHANGO WA MADHEHEBU YOTE YA DINI0

    Imeelezwa kuwa, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan inathamini mchango wa Madhehebu ya dini kupitia mahubiri na kufundisha neno la Mungu kwa watu wote.Hayo yamebainishwa na Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko katika Maadhimisho ya Jubilee ya Miaka 75 ya Kanisa la Elimu Pentekoste Tanzania (KEPT) iliyofanyika

    READ MORE
  • RAIS SAMIA ACHANGIA UJENZI WA KANISA LA KKKT, CHAMWINO IKULU

    RAIS SAMIA ACHANGIA UJENZI WA KANISA LA KKKT, CHAMWINO IKULU0

    • Dini
    • September 20, 2022

    Na Mwandishi Wetu-Chamwino RAIS SAMIA SULUH HASSAN ametoa Tsh. Milioni 50 kwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Chamwino Ikulu, kama ahadi ya mchango wake kwenye ujenzi unaoendelea wa Kanisa hilo.Akikabidhi Hati ya malipo hayo yaliyofanyika kwa njia ya Benki Mkuu wa mkoa wa Dodoma  Rosemary Senyamule  ambae alimwakilisha RAIS SAMIA SULUH

    READ MORE
Translate »