- Dini, Habari
- April 23, 2024
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaomba wananchi kuendelea kushikamana, kuwa wamoja, kudumisha amani na utulivu ili kuzidi kupiga hatua ya maendeleo ya uchumi na ustawi wa jamii nchini. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Dua ya kumuombea Mwanachuoni mkubwa Zanzibar Alhabyb
READ MORE- Dini, Habari, Kitaifa
- April 23, 2024
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na viongozi mbalimbali wa dini mara baada ya kuhitimishwa kwa dua na maombi ya kuliombea taifa kuelekea miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma leo Aprili 22, 2024.
READ MORE- Dini, Habari
- April 10, 2024
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na waumini wa dini ya kiislamu kwenye Sala ya Eid Elfitri, katika Msikiti wa Gaddafi jijini Dodoma, Aprili 10.2024. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka waumini wa dini ya kiislam kuendelea kuyaishi yale waliyojifunza wakati Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Amesema kuwa lengo ni kuhakikisha jamii inaendelea kuwa bora na kulifanya Taifa kuwa lenye tulivu, amani na mshikamano “Popote Tanzania unapokwenda
READ MORE