Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akila kiapo kulitumikia Taifa mwaka 2015 kwa mhula wa kwanza Akizungumza na waandishi wa habari,katibu mkuu wa itikadi na uenezi wa Chama cha mapinduzi ndugu Hamphrey Polepole amewataka wananchi wa mkoa wa Dodoma kujitokeza kwa wingi katika tukio hilo. Naye mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe Mahenge amewahakikishia
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akila kiapo kulitumikia Taifa mwaka 2015 kwa mhula wa kwanza
Akizungumza na waandishi wa habari,katibu mkuu wa itikadi na uenezi wa Chama cha mapinduzi ndugu Hamphrey Polepole amewataka wananchi wa mkoa wa Dodoma kujitokeza kwa wingi katika tukio hilo.
Naye mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe Mahenge amewahakikishia usalama kuimarika katika tukio hilo.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *