• Tunashukuru Mungu Tumerudi salama Tanzania.

    Tunashukuru Mungu Tumerudi salama Tanzania.0

    Shukrani kwa Ubalozi wa Tanzania, Kigali Rwanda. Tumepata mapokezi mazuri, ushiriki mkubwa katika maandalizi ya tukio la Hisani, maandalizi ya tukio la ukabidhi wa jezi kwa Rais Kagame, maandalizi ya kutembelea kumbukumbu za mauaji ya halaiki na leo chakula cha mchana hapa ubalozini kwetu. Tunatoa Shukrani za dhati kwa Ubalozi na Serikali yetu. Shukrani kwa

    READ MORE
  • UZINDUZI MCHEZO WA NGUMI ZANZIBAR.

    UZINDUZI MCHEZO WA NGUMI ZANZIBAR.0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema tarehe 27 Agosti 2023 Zanzibar imefungua ukurasa mpya wa maendeleo ya sekta ya michezo kwa kuzindua rasmi mchezo wa ngumi kuwa miongoni mwa michezo iliyoruhusiwa kuchezwa Zanzibar kama ilivyo michezo mingine kwa kuzingatia sheria na kanuni za mchezo  huo kimataifa. Rais Dk.Mwinyi

    READ MORE
  • #CAFCL: YANGA YASONGA MBELE KWA KISHINDO, YASHINDA 5-1

    #CAFCL: YANGA YASONGA MBELE KWA KISHINDO, YASHINDA 5-10

    Yanga imepata ushindi huo dhidi ya ASAS ya Djibouti katika mchezo wa Hatua ya Awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye Uwanja wa Azam Complex Jijini Dar es Salaam Kwa matokeo haya Yanga imesonga mbele kwa magoli 7-1 kwa kuwa katika mchezo wa kwanza baina ya timu hizo ilishinda 2-0 Raundi ya Pili, Yanga inatarajiwa

    READ MORE
  • SIMBA WABABE WA YANGA NGAO YA JAMII

    SIMBA WABABE WA YANGA NGAO YA JAMII0

    Ushindi huo umepatikana kwa njia ya penati 3-1 baada ya matokeo ya 0-0 katika dakika 90 za mchezo wa kuikaribisha Ligi Kuu Bara Msimu wa 2023/2024 uliopigwa kwenye Uwanja wa #Mkwakwani, #TangaWaliofunga penati upande wa #Simba ni Muzamiru Yassin, Willy Onana na Jean Baleke, waliokosa ni Saidi Ntibazonkiza na Moses Phiri Aliyefunga upande wa #Yanga

    READ MORE
  • SIMBA YAIFUATA YANGA FAINALI NGAO YA JAMII

    SIMBA YAIFUATA YANGA FAINALI NGAO YA JAMII0

    Klabu ya Simba SC imeungana na Yanga SC kwenye fainali ya Ngao ya Jamii 2023 kufuatia ushindi wa penalti 4-2 dhidi ya Singida Fountain Gate FC kwenye nusu fainali baada ya kutoka Sare ya kutofungana ndani ya dakika 90. Singida Fountain Gate FC itachuana na Azam FC kutafuta nafasi ya tatu. FT: SIMBA SC 0-0

    READ MORE
  • YANGA HAO FAINALI KUWASUBIRI SIMBA/SINGIDA FOUNTAIN GATE

    YANGA HAO FAINALI KUWASUBIRI SIMBA/SINGIDA FOUNTAIN GATE0

    FT: Yanga SC 2-0 Azam FC⚽ Aziz Ki 85′⚽ Mzize 89′ Yanga imetinga fainali ya Ngao ya Jamii 2023 kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Azam FC kwenye nusu fainali. Yanga imetangulia fainali kusubiri mshindi wa nusu fainali ya pili kati ya Simba SC dhidi ya Singida Fountain Gate FC utakaopigwa kesho Agosti 10, 2023

    READ MORE
Translate »