February 10 2021 Habari picha: Vijana msibweteke kusubiri ajira za serikali pindi mnapo maliza masomo kuna ujuzi wa fani mbalimbali jitokezeni kujifunza fani mbalimbali ili uweze kujiajiri na kuwaajiri wengine ili kuweza kupata kipato na kujikwimu kimaisha na kuacha kuwa tegemezi kwa familia na serikali katika kuelekea Tanzania ya viwanda ni kauli ya fundi ujenzi
READ MORENa Barnabas kisengi, Dodoma.January 30 2021 Mahakama kuu kanda ya Dodoma imeadhimisha siku ya sheria na miaka Mia moja tangu ianzishwe kwa kufanya bonanza la michezo mbalimbali katika uwanja wa jamuhuri kuelekea kilele cha siku ya sharia na miaka mia moja ya ya mahakama kuu ambayo kilele cha siku hiyo itakuwa February 01.2021 ambapo mgeni
READ MORESTATE HOUSE ZANZIBAROFFICE OF THE PRESS SECRETARYPRESS RELEASEZanzibar Disemba, 2020 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. HusseinAli Mwinyi amewaomba Wawekezaji kutoka nchi za Jumuiya yaKiarabu (UAE) kuja kuwekeza nchini, hususan katika sekta ya Utalii. Dk. Mwinyi ametoa wito huo leo Ikulu Jijini Zanzibar, wakati alipokuwa namazungumzo na Balozi wa Falme za
READ MORE