
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman leo Septemba 21 amefunga Kongamano la Nishati lililofanyika Katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam.
READ MORE
- Biashara, Habari, Kitaifa
- September 20, 2023
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Septemba 20, 2023 amefungua Kongamano la Tano na Maonesho ya Nishati Tanzania na amesema kwamba Serikali imedhamiria kuwa mzalishaji mkubwa na nishati. “Tunaendelea na utafutaji wa gesi, tunataka tuwe wazalishaji wakubwa wa nishati, tuwe na umeme wa kutosha utakaopatikana kwa urahisi na nafuu na ziada tutauza nje ya nchi.“ Mheshimiwa
READ MORE
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk Hussein Ali Mwinyi akimaliza ziara yake nchini Cuba, amekutana na Makamu wa Rais wa Uganda Mhe. Jessica Alupo pamoja na ujumbe wa Wizara ya Kilimo ya Cuba ikiongozwa na Naibu wa Wizara huyo Mhe. Bernado. Rais Dk Mwinyi katika mazungumzo hayo alimshawishi Makamu huyo
READ MORE