Mhe. Balozi wa Tanzania nchini Burundi, Mhe. Gelasius Byakanwa akiangalia bidhaa za wajasiriamali wa Tanzania alipowatembelea katika Maonesho ya 23 ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki maarufu Nguvu Kazi au Jua Kali yanayofanyika Viwanja vya Cercle Hyppique (Golf Course), Bujumbura, Burundi. BALOZI wa Tanzania nchini Burundi, Mhe. Gelasius Byakanwa ametembelea
READ MOREWAJASIRIAMALI kutoka maeneo mbalimbali nchini Tanzania wamemshukuru Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwawezesha kushiriki maonesho ya 23 ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki maarufu Nguvu Kazi au Jua Kali yanayofanyika Bujumbura, Burundi kuanzia tarehe 5 hadi 15 Desemba, 2023. Wakizungumza Wajasiriamali hao kwa nyakati tofauti wamesema uratibu uliofanywa
READ MOREWaziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Kongomano la Pili la Wanawake na Vijana Katika Biashara Adni ys Eneo Huru la Bara la Afrika (AFCTA )kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kimataifa chaJulius Nyerere jijini Der es salaam, Disemba 6, 2023. Waziri Mkuu, KASSIM MAJALIWA akisindikizwa na Waziri
READ MORE