• Faida kuu za vifaa Vya Nyumbani vya LG ni pamoja na kutoa urahisi na uharaka wa kutumia vifaa kama TV na friji, utendakazi ulioboreshwa kupitia teknolojia ya Upelelezi wa Artificial Intelligence (AI) kwa washer na kuokoa nishati kwa viyoyozi. • Teknolojia mpya iliyobuniwa na Kampuni ya LG inayosifiwa kwa kusaidia kuhifadhi nishati na maji,
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe amewataka wafanyabiashara nchini kuchangamkia fursa zilizopo ili kuweza kukuza sekta hiyo ambayo inatoa ajira na kuchangia pato la Taifa.Akizungumza katika mkutano mkuu wa mwaka wa Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA), baina ya sekta ya Umma na sekta binafsi uliofanyika jijini Dodoma.
READ MOREKampuni namba moja kwa utoaji wa huduma za Kidigitali nchini Tigo Tanzania imefungua duka jipya katika mji wa Masasi, kuthibitisha uwekezaji wake wa kimkakati katika ukanda wa pwani. Duka hili likiwa mkabala na mgahawa wa Himo, limefunguliwa ili kutoa matumizi bora kwa wateja kutoka Masasi na miji ya jirani. Duka hili jipya litatoa simu janja
READ MORE