TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2022
- ELIMU
- January 4, 2023
Na Barnabas Kisengi Singida Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Deogratius Ndejembi ametoa miezi miwili kwa Mkurungenzi wa Halmashauri ya Manyoni kukamilisha ujenzi miundombinu yote ya shule maalum ya Sayansi ya Wasichana ya Mkoa wa Singida. Ndejembi Ametoa maagizo hayo Machi, 01 2023 wakati alipofanya ziara ya
READ MORENa Mwandishi Wetu Chamwino Mkuu wa wilaya ya Kongwa Remedius Mwema ambaye pia Kwa sasa anakaimu wilaya ya Chamwino kufuatia mkuu wa wilaya hiyo kuwa likizo februari 16.2023 ameongoza kikao Cha kwanza kati ya vikao viwili kwa mwaka cha wadau wa maendeleo ya elimu katika halmashauri hiyo. Kikao hicho chenye lengo la kujadili maendeleo na
READ MORENa Morin Rojas Dodoma Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) Justina Mashiba amesema kuwa mfuko huo unatarajia kutumia shilingi 575,000,000 ,kwa ajili ya Mradi wa Kupeleka Vifaa Maalum vya TEHAMA vya Kujifunzia kwa Shule 16 Zenye watoto wenye mahitaji maalum hapa nchini.Bi Mashiba ameyasema hayo Februari 13,2023 Jijini Dodoma, wakati akielezea utekelezaji
READ MORE