. . Na Mathias Canal, WEST-Dar es salaam Serikali imeeleza inao wajibu kuwaenzi waandishi wake kama ambavyo inapaswa kuwaenzi watu wengine wote wanaoweka jitihada za dhati kwa manufaa chanya ya taifa. Namna ya kwanza ya kuthamini jitihada za waandishi wa vitabu ni kununua na kusoma kazi zao. Kama alivyopata kusema mwandishi nguli wa Afrika Mashariki,
READ MORENa Mwandishi Wetu-DodomaJuni 17 2022 Mkuu wa mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka amewataka wakuu wa shule mkoani hapa kuendelea kuwapokea wanafunzi wa shule bila ya kujali Ada wala michango ya shule mpaka hapo waraka wa kutolipa Ada utakapotolewa. Agizo hilo amelitoa leo jijini Dodoma wakati wa kikao cha wakuu wa shule kilichofanyika kwenye ukumbi wa
READ MORENa Mwandishi Wetu Dodoma Serikali imesema kuwa itatangaza fursa zaidi kwa ajili ya watanzania wengi kusoma nchini Marekani na nchi nyingine kote Duniani. Miongoni mwa maeneo ambayo serikali inakusudia kuyawekea mkazo kwa wananchi kusoma nje ya nchi ni pamoja na eneo la Sayansi, Teknolojia na elimu tiba. Utekelezaji wa matakwa hayo ni maelekezo ya ilani
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wazazi na walezi washirikiane na walimu katika kuwalinda watoto wa kike na wa kiume ili waweze kutimiza ndoto zao kielimu. Pia, Waziri Mkuu amewataka watoto hao wasikubali kudanganywa na watu wasiopenda maendeleo yao na badala yake wasome kwa bidii na wahakikishe malengo yao kielimu yanatimia. Ameyasema hayo leo
READ MORE