RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
KLABU ya Yanga imefanikiwa kuondoka na alama tatu mara baada ya kufanikiwa kuichapa Mtibwa Sugar kwa mbao 3-0, mchezo ambao ulipigwa kwenye dimba la Benjamini Mkapa Jijini dar es Salaam. Mabao ya Yanga yaliwekwa kimyani na mshambuliaji Fiston Mayele , Djuma Shaban pamoja na Azizi Ki ambaye alifunga idadi ya mabao kwenye mchezo huo ambao
READ MOREKLABU ya soka ya SIMBA SC wameng’ara ugenini baada ya kuwachapa wenyeji Big Bullets bao 2-0 mchezo wa mkondo wa kwanza hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika inayopigwa kwenye uwanja wa Taifa Bingu, Malawi. Moses Phiri aliiandika bao la kwanza Simba mnamo dakika ya 29 na mnamo dakika ya 83 John Bocco aliiandikia timu
READ MOREKLABU ya Soka ya Yanga SC imeanza vyema katika kampeni za kuwania kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa baada ya kuwachapa mabao 4-0 wenyeji Zalan FC kutoka nchini Sudan Kusini mchezo wa mkondo wa kwanza hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika uliopigwa uwanja wa Taifa wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Yanga
READ MOREKLABU ya Simba imeshindwa kutamba katika uwanja wake wa nyumbani mara baada ya kulazimishwa sare ya 2-2 dhidi ya KMC ambapo mchezo huo ulipigwa kwenye dimba la Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam. Simba Sc ilianza kupata bao la mapema kabisa kupitia kwa mshambuliaji wake Moses Phiri katika kipindi cha kwanza cha mchezo. Kipindi cha kwanza
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Buyungu, wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma Mhe. Aloyce Kamamba amesema timu zote za taifa zifanye maandalizi ya kutosha ili kuwakilisha vema taifa katika mashindano ya kimataifa. Mhe. Kamamba amesema hayo Septemba
READ MORE