• DKT. KIKWETE AZINDUA MPANGO HARAKISHI WA WATOTO NJITI NA WATOTO WACHANGA.

    DKT. KIKWETE AZINDUA MPANGO HARAKISHI WA WATOTO NJITI NA WATOTO WACHANGA.0

    • Afya
    • November 17, 2023

    Na.Elimu ya Afya kwa Umma, Ikiwa leo  Novemba 17, 2023 Tanzania inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Mtoto Njiti Duniani, Rais Msataafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amezindua Mpango Harakishi wa Watoto Njiti na Watoto Wachanga. Akizungumza katika Uzinduzi huo Jijini Dar Es Salaam katika Mkutano wa Pili wa Kisayansi wa

    READ MORE
  • Watoto 2000 hawakupata chanjo na watoto 1700 hawakumalizia chanjo.

    Watoto 2000 hawakupata chanjo na watoto 1700 hawakumalizia chanjo.0

    WIZARA ya Afya imekusudia kutoa chanjo kwa watoto zaidi 2000 ambao hawakupata chanjo na watoto 1700 ambao hawakumalizia chanjo huku wito ukitolewa kwa jamii kutoa ushirikiano watoto kupatiwa chanjo ili kuimarisha kinga ya mwili dhidi ya Magonjwa yanayozuilika kwa chanjo. Akizindua rasmi Mfumo wa uraghibishaji wa Huduma za Chanjo Wilaya ya Ilala, Dar es Jijini

    READ MORE
  • SERIKALI INABORESHA MAZINGIRA WEZESHI YA HUDUMA ZA KIJAA KWA WAZEE.

    SERIKALI INABORESHA MAZINGIRA WEZESHI YA HUDUMA ZA KIJAA KWA WAZEE.0

    Serikali imeziagiza Taasisi za umma na binafsi kuweka mpango maalum wa kuwapa kipaumbele wazee kwenye huduma wanazotoa ili kupunguza changamoto zinazowakabili. Hayo yamesemwa Bungeni Novemba 02, 2023 na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis kufuatia swali la swali la Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini Mhe.

    READ MORE
Translate »