• Rais Mwinyi amewashukuru Madaktari 32 kutoka China.

    Rais Mwinyi amewashukuru Madaktari 32 kutoka China.0

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameishukuru Serikali ya China kwa ushirikiano wanaoendelea kuutoa kwa Tanzania ikiwemo Zanzibar kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo. Dk. Mwinyi ametoa shukurani hizo Ikulu, Zanzibar alipowakabidhi vyeti na medali timu ya madaktari 32 kutoka China waliohudumu kwenye hospitali za Zanzibar kwa kipindi cha

    READ MORE
  • Kambi za matibabu zitasaidia kuondoa matatizo ya Afya kwa wananchi.

    Kambi za matibabu zitasaidia kuondoa matatizo ya Afya kwa wananchi.0

    Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mke wa Rais wa Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi amesema hatua ya wadau wa afya kuweka kambi za matibabu Zanzibar, itasaidia kuondoa matatizo ya afya yanayowakabili wananchi. Akizungumza na ujumbe wa watendaji wa hospitali ya Kitengule, kutoka Dar es Salaam, ofisini kwake Migombani

    READ MORE
  • WAKUU WA MIKOA ONGEZENI KASI YA KUDHIBITI UKATILI KWA WATOTO.

    WAKUU WA MIKOA ONGEZENI KASI YA KUDHIBITI UKATILI KWA WATOTO.0

    Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amewasisitiza Wakuu wa Mikoa nchini kuendelea kuishikilia Ajenda ya kupambana na mmomonyoko wa maadili, vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto na uwezeshaji wanawake kiuchumi katika maeneo yao. Mhe. Dkt. Gwajima amesisitiza hayo Agosti 26, 2023 kwenye mkutano wa mafunzo

    READ MORE
Translate »