HII HAPA RATIBA YA ROBO FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM
- Uncategorized
- February 21, 2022
Na Moreen Rojas Dodoma Mamlaka ya afya ya mimea na viatilifu Tanzania TPHPA imefanikiwa kudhibiti ndege aina ya kweleakwelea milioni 227.4 na kufanikiwa kuokoa Tani 1056.3 za mazao ya nafaka.Prof.Joseph Ndunguru amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma kueleza utekelezaji wa majukumu ya mimea na viatilifu nchini Tanzania. Aidha Prof Joseph amesema
READ MOREWaziri wa Maji Jumaa Aweso, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Anthony Sanga pamoja na ujumbe wa Wizara ya Maji wameshiriki Mkutano maalum unaohusiana na Maswala ya Huduma ya Maji Duniani World Water-Tech Innovation Summit (WWIS) 2023 London unaoratibiwa na serikali ya Uingereza. Akizungumza katika mkutano Waziri Aweso ametoa wito kwa wadau wa sekta
READ MOREKatibu Mtendaji wa tume ya vyuo vikuu nchini Prof.Charles Kihampa amesema kuwa tume ya vyuo vikuu Tanzania imeendelea kuimarisha mifumo yake ya uthibiti ubora na mifumo ya ndani ya vyuo vikuu ili kuhakikisha vyuo vikuu vinaendana na mwelekeo wa serikali.Prof.Kihampa amesema hayo Februari 22,2023 jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa
READ MOREShirika la umeme Tanzania (Tanesco) linatarajia kutumia trilioni 4 kwa ajili ya kuweza kutatua changamoto ya umeme kukatika ovyo ikiwemo kununua transfoma imara,mita za umeme pamoja na ununuaji wa nguzo.Kaimu Mkulugenzi huduma kwa wateja Martin Mwambene Amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma kuhusu utekelezaji wa majukumu ya shirika la umeme Tanzania
READ MORE