Thamani ya vikosi vya timu 8 zilizofuzu robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika.
- Uncategorized
- April 14, 2021
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo amejumuika na viongozi na wananchi mbalimbali katika misa Takatifu ya kumwombea Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli iliyofanyika katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Mt.Yohana Maria Muzeyi, Wilaya ya Chato mkoani Geita. Akitoa Salaam za Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan,
READ MORERais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Waumini wa Dini ya Kiislamu kuendelea kuwaombea dua viongozi watimize ahadi walizoahidi pamoja na kukabaliana na changamoto mbalimbali ikiwemo upandaji wa bidhaa za chakula duniani. Rais Mhe.Alhajj Dk..Mwinyi amesema hayo alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika ibada ya Sala
READ MOREMganga wa Tiba Asili ajulikanaye kwa jina la Ngusa Jilumba (58)pamoja na Mkewe Bugumba Mahola (54) wameuawa papo hapo kwa kukatwa na mapanga pamoja na shoka baada ya kuvamiwa nyumbani kwao na watu wasiojulikana katika Kijiji cha Sungamile Halmashauri ya Msalala Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga. Akizungumza eneo la tukio katika Kijiji hicho, Mwenyekiti wa Kijiji Cha Sungamile Charles Tungu amesema amezipata taarifa za
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivalishwa Nishani ya Mapinduzi ya Viongozi wenye sifa za Kipekee (Order of Praise) na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwenye hafla iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ya Zanzibar tarehe 11 Januari, 2024. Rais Samia
READ MORE