• RAIS DK.MWINYI AMEWATAKA WAUMINI KUWAOMBEA VIONGOZI.

    RAIS DK.MWINYI AMEWATAKA WAUMINI KUWAOMBEA VIONGOZI.0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Waumini wa Dini ya Kiislamu kuendelea kuwaombea dua viongozi watimize ahadi walizoahidi pamoja na kukabaliana na changamoto mbalimbali ikiwemo upandaji wa bidhaa za chakula duniani. Rais Mhe.Alhajj Dk..Mwinyi amesema hayo alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika ibada ya Sala

    READ MORE
  • Mganga na mkewe wameuwawa kwa kukatwa katwa na shoka.

    Mganga na mkewe wameuwawa kwa kukatwa katwa na shoka.0

    Mganga wa Tiba Asili ajulikanaye kwa jina la  Ngusa Jilumba (58)pamoja na Mkewe  Bugumba Mahola (54) wameuawa  papo hapo kwa  kukatwa na mapanga pamoja  na shoka baada ya kuvamiwa nyumbani kwao na watu wasiojulikana katika Kijiji cha Sungamile Halmashauri ya  Msalala Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga. Akizungumza  eneo la tukio  katika Kijiji hicho, Mwenyekiti wa Kijiji Cha Sungamile Charles Tungu amesema amezipata taarifa za

    READ MORE
  • Rais Mwinyi amemtunuku Nishani Rais Dkt Samia na viongozi wengine 16.

    Rais Mwinyi amemtunuku Nishani Rais Dkt Samia na viongozi wengine 16.0

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivalishwa Nishani ya Mapinduzi ya Viongozi wenye sifa za Kipekee (Order of Praise) na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwenye hafla iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ya Zanzibar tarehe 11 Januari, 2024. Rais Samia

    READ MORE
Translate »