Na Mwandishi Wetu Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amezindua Mradi wa kuimarisha Afya, Ustawi na ulinzi kwa watoto na vijana wanaoishi katika mazingira hatarishi uitwao USAID Kizazi hodari katika hafla fupi iliyofanyika Jijini Dodoma Januari 17, 2023. Akizungumza na washiriki wa hafla hiyo Waziri Dkt.
READ MORENa, Emesto Eliudy, Dar Es Salaam. Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Mashariki Limewataka waumini wa Kanisa Hilo na watanzania Kwa ujumla kutochoka kuwasaidia watu waishio katika mazingira Magumu ikiwa ni sehemu Yao ya Ibada Kwa Mungu. Kauli hiyo ilitolewa asubuhi ya Leo Jijini Dar Es Salaam na Mwenyekiti wa Kanisa Hilo Jimbo la Mashariki,
READ MOREWaziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza na wazee wanaume waliohudhuria hafla ya Harambee ya kukiimarisha Chama cha Wazee Wanaume Tanzania iliyofanyika jijini Arusha. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akimkabidhi Kiongozi Mkuu wa Chama cha Wanume Tanzania mchango
READ MORENa Wizara ya Afya Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima amesema Sheria ya Ustawi wa Jamii ikiundwa itarahisisha Uratibu wa utetezi wa haki za Makundi maalum. Waziri Dkt. Gwajima ameyasema hayo wakati akifungua Mkutano wa mwaka wa Chama cha Maafisa Ustawi wa Jamii(TASWO) jijini Dodoma Oktoba 26,
READ MORENa WMJJWM, Dar es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi, Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema Wizara hiyo itaendelea kufuatilia utekelezaji wa Sera na Sheria inazozisimamia huku yeye mwenyewe akiwa mstari wa mbele kwenda saiti za jamii kusikiliza na kutatua changamoto za jamii. Mhe. Dkt. Gwajima ameyasema hayo akifungua jengo la
READ MORE