• Waziri Mkuu akagua athari za mafuriko Taweta, Masagati, Utengule na Malinyi.

    Waziri Mkuu akagua athari za mafuriko Taweta, Masagati, Utengule na Malinyi.0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wananchi waliokumbwa na adha ya mafuriko nchini waendelee kuwa watulivu wakati Serikali ikiendelea kuratibu utoaji wa misaada kwenye maeneo yaliyoathirika. “Barabara ya Mkongo hadi Utete na ile ya kutoka Mloka Mkongo zote zimeathirika. Tunafanya kazi ya kurejesha mawasiliano ili wananchi waweze kupata huduma muhimu,” amesema. Waziri Mkuu ametoa wito huo

    READ MORE
  • Waziri Mkuu Majaliwa ameshiriki hafla ya Iftari na watoto wanaoishi katika mazingira magumu.

    Waziri Mkuu Majaliwa ameshiriki hafla ya Iftari na watoto wanaoishi katika mazingira magumu.0

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza benki ya NMB kwa kuiunga mkono Serikali kwa kuisaidia jamii ikiwemo watoto wanaoishi katika mazingira magumu. “Kwa kufanya hivi mnapata thawabu kwa kuyagusa maisha ya jamii yenye uhitaji na kuwafanya wajione wenye thamani sawa na wengine. Ninatambua kuwa licha ya kuwakumbuka Watoto wenye uhitaji, mmekuwa mkichangia mahitaji muhimu kwenye shule

    READ MORE
  • 0

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako akizungumza wakati wa hafla ya mapokezi ya vijana 268 ambao ni wanufaika wa Programu ya Building a Better Tomorrow (BBT) iliyofanyika katika eneo la Chinangali, Dodoma tarehe 22 Januari, 2024. Baadhi ya Vijana wakifuatilia hotuba ya Waziri wa

    READ MORE
  • ”KWANINI MPO HAPA? MASHINE HAIJACHIMBA HATA KISIMA KIMOJA” Majaliwa.

    ”KWANINI MPO HAPA? MASHINE HAIJACHIMBA HATA KISIMA KIMOJA” Majaliwa.0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Waziri wa Maji Jumaa Aweso kufika katika ofisi za wakala wa Maji na usafi Mazingira Vijijini Mkoa wa Lindi (RUWASA) na Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Lindi (LUWASA) kufuatilia mapungufu yaliyopo ikiwemo kutotumika kwa gari la uchimbaji visima lililotolewa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan tangu

    READ MORE
  • SERIKALI INABORESHA MAZINGIRA WEZESHI YA HUDUMA ZA KIJAA KWA WAZEE.

    SERIKALI INABORESHA MAZINGIRA WEZESHI YA HUDUMA ZA KIJAA KWA WAZEE.0

    Serikali imeziagiza Taasisi za umma na binafsi kuweka mpango maalum wa kuwapa kipaumbele wazee kwenye huduma wanazotoa ili kupunguza changamoto zinazowakabili. Hayo yamesemwa Bungeni Novemba 02, 2023 na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis kufuatia swali la swali la Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini Mhe.

    READ MORE
  • WATOTO 546,026 WAMEPATA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO.

    WATOTO 546,026 WAMEPATA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO.0

    Mganga Mkuu Mkoa wa Rukwa Dkt. Ibrahim Isack ameipongeza Wizara ya Afya pamoja na  wadau mbalimbali ikiwemo Shirika la Afya Duniani( WHO), Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani( UNICEF) pamoja na Save the Children kwa kuweka nguvu za pamoja kufanikisha Kampeni ya Chanjo ya Matone dhidi ya Polio. Dkt. Isack ametoa pongezi  hizo Mkoani Rukwa ikiwa

    READ MORE
Translate »