
Na Mwandishi Wetu, Shinyanga. OFISI ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), imetoa mafunzo ya ujuzi tepe (Soft Skills) kwa makundi maalumu ya vijana, wakiwamo wenye ulemavu, wamama wadogo (Young Mothers) na wanaoishi na Virusi vya UKIMWI (WAVIU) katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa lengo la kuwawezesha kujitambua na kujitathmini. Mafunzo hayo yamefanyika
READ MORE
- Habari, KIJAMII
- June 24, 2022
Na Mwandishi Wetu- Dodoma. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maaalum, Dkt Dorothy Gwajima, ameripoti kwa viongozi wa mtaa wake anaoishi wa Ilazo Mbuyuni kwa lengo la kukutana na kujadiliana na viongozi hao wa Mtaa wa Ilazo Mbuyuni, Kata ya Ipagala jijini Dodoma ili kuweka mbinu za kukabilina na ukatili wa kijinsia
READ MORE
Na Barnabas Kisengi -Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Uongozi wa Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inawatambua na kuwaenzi wanawake wote pamoja na makundi maalum wakiwemo wajane. Kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu inakadiria kuwa idadi ya wajane nchini Tanzania ni laki 8.8 ambayo ni sawa
READ MORE