Na Barnabas Kisengi-Dodoma Halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi CCM Taifa imekutana Jijini dodoma katika kikao halali cha kikatiba kilichoongozwa na Mwenyekiti wa cha cha Mapinduzi CCM ambaye pia ni RAIS WA JAMUHURI YAMUUNGANO WA TANZANIA MH SAMIA SULUH HASAN. Akizungumza na waandishi wa habari Katika Ofisi za makao makuu ya chama hicho katibu wa
READ MORERAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wanachama wa Chama cha Mapinduzi kuchagua Viongozi madhubuti wenye uwezo wa kukivusha chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025. Dk. Mwinyi ametoa wito huo katika salamu alizotoa kwa wanachama na Viongozi wa
READ MOREHalmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM imemsamehe na kuwarudishia uanachama wao waliokuwa wanachama wawili wa chama hicho akiwamo Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje, Benard Membe. Mwanachama mwingine aliyesamehewa na kurejeshewa uanachama wake ni Abdallah Maulid Diwani kutoka Zanzibar. Februari 28, mwaka 2020, Kamati Kuu ya CCM chini ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama
READ MORE