• ZIARA YA KICHAMA YA RAIS SAMIA ZANZIBAR.

    ZIARA YA KICHAMA YA RAIS SAMIA ZANZIBAR.0

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi,Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda, Akizungumza na waandishi wa vyombo vya habari leo tarehe 16 Januari, 2024 katika Afisi kuu ya CCM Kisiwandui ambalo ametoa taarifa ya ziara ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Dkt. Samia

    READ MORE
  • DKT. EMMANUEL JOHN NCHIMBI KATIBU MKUU CCM TAIFA

    DKT. EMMANUEL JOHN NCHIMBI KATIBU MKUU CCM TAIFA0

    DKT. EMMANUEL JOHN NCHIMBI ACHAGULIWA KUWA KATIBU MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM TAIFA Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan, Akifurahi Pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Bara Ndg. Abdulrahman Kinana na  Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Emmanuel Nchimbi   leo 15 Januari, 2024

    READ MORE
  • RAIS DKT.MWINYI AKUTANA NA MWENEZI MAKONDA IKULU ZANZIBAR.

    RAIS DKT.MWINYI AKUTANA NA MWENEZI MAKONDA IKULU ZANZIBAR.0

    Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa Paul Christian Makonda, Ikulu Zanzibar tarehe: 11 Januari 2024. Aidha Katibu Mwenezi Makonda amempongeza Rais Dkt.Mwinyi kwa kazi nzuri anayoendelea kufanya kwa kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM

    READ MORE
Translate »