• KINANA AWAFUNDA VIONGOZI WA UWT

    KINANA AWAFUNDA VIONGOZI WA UWT0

    Na Barnabas kisengi Dodoma Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana amewataka viongozi wa chama hicho kusema mambo mazuri yanayofanywa na serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika maeneo yao.Kinana amesema hayo jijini Dodoma wakati akifungua Mfunzo ya siku mbili ya viongozi wa Umoja wa

    READ MORE
  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Arusha yaridhishwa na utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapindizi (CCM) katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Kamati ya Siasa Mkoa wa Arusha yaridhishwa na utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapindizi (CCM) katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru0

    Na,Barnabas Kisengi  Kamati ya Siasa Mkoa wa Arusha yaridhishwa na utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapindizi (CCM) katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Wilayani Arumeru ambapo mbali na fedha za zinatolewa na Serikali kuu, Halmashauri hiyo kupitia mapato yake ya ndani kwa mwaka wa fedha2022\/2023  unaoendelea imetoa zaidi Milioni 935.5 za utekelezaji wa  Miradi

    READ MORE
  • Alhaji Kimbisa Awataka Viongozi CCM kufanya Mikutano

    Alhaji Kimbisa Awataka Viongozi CCM kufanya Mikutano0

    Na Barnabas Kisengi Dodoma. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dodoma CCM Alhaji ADAM KIMBISA ameitaka kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi kata ya kilimani kuhakikisha inasima na kuhakikisha viongozi wa cha na Serikali wanafanya mikutano ya adhara kwa Wananchi naekuwaekeza miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na RAIS

    READ MORE
Translate »