• AJALI YAUA 17 TANGA WAKIENDA KUZIKA MOSHI (+VIDEO)

    AJALI YAUA 17 TANGA WAKIENDA KUZIKA MOSHI (+VIDEO)0

    Watu 17 wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia leo Jumamosi Februari 4, 2023 wilayani Korogwe mkoani Tanga.Katika taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba leo imeeleza kuwa ajali hiyo imehusisha magari mawili na kusababisha vifo vya watu 17 na Majeruhi 12. Ajali hiyo imetokea

    READ MORE
  • WATU 19 WAFARIKI AJALI YA NDEGE ZIWA VICKTORIA

    WATU 19 WAFARIKI AJALI YA NDEGE ZIWA VICKTORIA0

    Ndege hiyo ya Precision Air ambayo ilikuwa na watu 43 ilikuwa ikitoka Dar es Salaam kwenda Bukoba. Bukoba. Watu 19 wakiwemo abiria na wahudumu wamefariki dunia katika ajali ya ndege ya shirika la Ndege la Precision Air iliyotokea asubuhi ya leo Jumapili Novemba 6, 2022. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametangaza vifo hivyo leo jioni baada ya

    READ MORE
  • PACHA WA PILI WALIOTENGANISHWA MUHIMBILI NAYE AFARIKI DUNIA

    PACHA WA PILI WALIOTENGANISHWA MUHIMBILI NAYE AFARIKI DUNIA0

    Pacha aliyesalia ‘Rehema’ kati ya mapacha wawili waliotenganishwa Julai Mosi mwaka huu, amefariki dunia jana saa 5 asubuhi Agosti 11, wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH). Rehema amefariki dunia siku 32 baadaye tangu kifo cha pacha wake ‘Neema’ kilichotokea Julai 10 mwaka huu. Neema alifariki dunia baada ya hali yake kubadilika

    READ MORE
Translate »