AJALI YAUA 17 TANGA WAKIENDA KUZIKA MOSHI (+VIDEO)
- BREAKING NEWS
- February 4, 2023
Watu 17 wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia leo Jumamosi Februari 4, 2023 wilayani Korogwe mkoani Tanga.Katika taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba leo imeeleza kuwa ajali hiyo imehusisha magari mawili na kusababisha vifo vya watu 17 na Majeruhi 12. Ajali hiyo imetokea
READ MORENdege hiyo ya Precision Air ambayo ilikuwa na watu 43 ilikuwa ikitoka Dar es Salaam kwenda Bukoba. Bukoba. Watu 19 wakiwemo abiria na wahudumu wamefariki dunia katika ajali ya ndege ya shirika la Ndege la Precision Air iliyotokea asubuhi ya leo Jumapili Novemba 6, 2022. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametangaza vifo hivyo leo jioni baada ya
READ MOREPacha aliyesalia ‘Rehema’ kati ya mapacha wawili waliotenganishwa Julai Mosi mwaka huu, amefariki dunia jana saa 5 asubuhi Agosti 11, wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH). Rehema amefariki dunia siku 32 baadaye tangu kifo cha pacha wake ‘Neema’ kilichotokea Julai 10 mwaka huu. Neema alifariki dunia baada ya hali yake kubadilika
READ MORENi wiki kadhaa sasa tangu Tigo Zantel itangaze rasmi kuwa mdhamini mkuu wa mashindano ya mbio maarufu za Zanzibar International Marathon zinazotarajiwa kufanyika Tarehe 7 Agost 2022 visiwani Zanzibar huku zikiwa na lengo la kutangaza utalii nchini. Akizungumza Leo Agosti 5, zikiwa zimebakia siku mbili kuelekea mbio hizo Mkurugenzi wa Tigo Zantel Kanda ya Zanzibar
READ MORENa Mwandishi Wetu, Watu 10 wakiwemo wanafunzi 8, dereva na mwanamke mmoja wamefariki dunia na wengine 18 wamejeruhiwa katika ajali ya basi la shule ya king David iliyotokea mapema leo asubuhi Mjini Mtwara wakati wakielekea shuleni Mkuu wa mkoa wa Mtwara Brigedia Generali Marco Gaguti amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo “Nimepokea salamu za rambirambi kutoka
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam, Bw. Jumanne Shauri pamoja na watumishi wengine tisa wa jiji hilo ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za Serikali ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 10 zilizokusanywa na hazikuwasilishwa benki kama sheria inavyoelekeza. Agizo hilo linatokana na
READ MORE