• WAZIRI MKUU AONYA UPOTOSHAJI UWEKAJI ALAMA LOLIONDO

    WAZIRI MKUU AONYA UPOTOSHAJI UWEKAJI ALAMA LOLIONDO0

     *Asisitiza hakuna kijiji kitakachohamishwa tarafa ya Loliondo WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Watanzania na wana-Loliondo kupuuza upotoshaji unaofanywa na baadhi watu wasiolitakia mema Taifa kuhusu eneo la hifadhi ya Loliondo lililopo Tarafa ya Loliondo na badala yake waendelee kuisikiliza Serikali.  “Kilichotokea si uhalisia, hakuna tishio lolote, wale wameenda msituni kuweka alama katika eneo ambalo liko

    READ MORE
  • TUNAIMARISHA MIFUMO ITAKAYOZUIA WANYAMAPORI KUINGIA KATIKA MAKAZI YA WANANCHI-MAJALIWA

    TUNAIMARISHA MIFUMO ITAKAYOZUIA WANYAMAPORI KUINGIA KATIKA MAKAZI YA WANANCHI-MAJALIWA0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali kwa sasa inaimarisha mifumo itakayozuia wanyamapori wakiwemo tembo kuingia katika makazi ya wananchi ili waweze kuishi kwa amani. Amesema baada ya Serikali kuimarisha ulinzi na kuzuia uwindaji haramu kwa sasa nchini kuna ongezeko kubwa la wanyama, hivyo inafanya jitihada kuzuia wanyama hao kuingia katika makazi. Ameyasema hayo leo (Alhamisi,

    READ MORE
  • RAIS SAMIA AMETOA KIPAUMBELE CHA AJIRA KWA WENYE ULEMAVU-MAJALIWA

    RAIS SAMIA AMETOA KIPAUMBELE CHA AJIRA KWA WENYE ULEMAVU-MAJALIWA0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan imetoa kipaumbele kikubwa cha ajira kwa watu wenye ulemavu, hivyo amewataka wajitokeze kwa wingi kuomba nafasi hizo mara yanapotolewa matangazo. Ameyasema hayo leo (Alhamisi, Mei 19, 2022) wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Stella Alex Ikupa

    READ MORE
Translate »