WAKULIMA MKOANI DODOMA WASHAURIWA KULIMA MAZAO YANAYOHIMILI UKAME
- Kilimo
- June 2, 2021
Na Mwandishi Wetu Kigoma Naibu Waziri wa Kilimo, Anthony Mavunde ameeleza mkakati wa Serikali kupitia Wizara ya kilimo wa kukiboresha kituo cha utafiti wa Kilimo-TARI KIHINGA ili kisaidie kuchochea maendeleo ya zao la Mchikichi. Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo mkoani Kigoma alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kigoma wakati ziara ya Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri
READ MORENa Moreen Rojas Dodoma Mamlaka ya afya ya mimea na viatilifu Tanzania TPHPA imefanikiwa kudhibiti ndege aina ya kweleakwelea milioni 227.4 na kufanikiwa kuokoa Tani 1056.3 za mazao ya nafaka.Prof.Joseph Ndunguru amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma kueleza utekelezaji wa majukumu ya mimea na viatilifu nchini Tanzania. Aidha Prof Joseph amesema
READ MORE*Kinatumika kupima mafuta ya Mawese WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Tobias Andengenye kwa kushirikiana na SIDO wahakikishe wanaingiza sokoni vipimo rasmi vya kupimia mafuta ya mawese na kuachana na vipimo vya asili maarufu kama BIDOO ambacho kimekuwa kikiwanyonya wakulima. Ametoa agizo hilo leo (Jumatatu, Februari 27, 2023) alipotembelea Viwanda vya Kukamua mafuta
READ MORENa Mwandishi Wetu kigoma RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt SAMIA SULUH HASSAN imedhamiria kumaliza tatizo la upatikanaji wa mafuta ya kula nchini kwa kufanya mageuzi makubwa katika mazao ya mafuta ikiwemo michikichi.Mageuzi haya yanakwenda sambamba na kupanda miche mipya iliyoboreshwa ambayo ina uzalishaji mkubwa wa mafuta. Wana-Kigoma tuamue sasa hivi tupande michikichi
READ MORE