RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Sekretarieti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imewafungulia mashtaka ya kimaadili Rais wa Yanga, Mhandisi Hersi Said na aliyekuwa ofisa wa klabu hiyo Haji Manara. Kamati ya Maadili ya TFF hivi karibuni ilimfungia miaka miwili Manara kujihusisha na shughuli yoyote ya mpira wa miguu (any football-related activity), lakini ameshindwa kutekeleza adhabu hiyo. Naye
READ MOREKlabu ya Simba imezindua jezi mpya leo za msimu mpya wa 2022/23.
READ MOREKlabu ya Yanga imetambulisha rasmi jezi zake mpya kwa ajili ya msimu wa 2022/23. Unatoa maksi ngapi kwa uzi huo mpya wa Yanga?
READ MORENa Mwandishi wetu, Birmingham Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa ameeleza kuwa, uwekezaji katika michezo ni muhimu kwa kuwa unasaidia kutoa ajira na kukuza uchumi wa nchi. Mhe. Mchengerwa ameeleza hayo Julai 27, 2022 katika Mkutano wa Mawaziri wa Michezo wa Nchi za Jumuiya ya Madola unaofanyika Birmingham Uingereza, ambapo amesema ni
READ MORETIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya taifa ya Somalia, mchezo wa hatua ya pili ya mchujo ya kuwania kufuzu Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wanaocheza Ligi za ndani (CHAN) kwenye uwanja wa Banjamin Mkapa. Mshambuliaji Mpya wa Azam FC Abdul Suleiman ‘Sopu’ aliwanyanyua
READ MOREMshambuliaji wa klabu ya Simba Msenegal Pape Ousmane Sakho ameshinda tuzo ya goli bora la mwaka 2022 la Afrika katika tuzo ya CAF. Mara baada ya kutwaa Tuzo hiyo, Sakho ameonesha furaha aliyonayo moyoni “Asanteni Watanzania, asanteni mashabiki wa Simba, asanteni wachezaji wote, nimefurahi sana.”- Pape Sakho baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa Tuzo ya
READ MORE