• Hongera Rais Mwinyi.

    Hongera Rais Mwinyi.0

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU AWAAGIZA WAKUU WA MIKOA 12 WASIMAMIE LISHE BORA

    WAZIRI MKUU AWAAGIZA WAKUU WA MIKOA 12 WASIMAMIE LISHE BORA0

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Kiongozi wa mbio hizo , Abdallah Shaib Kaim, wakati alipozindua Mbio za Mwenge huo Kitaifa kwa mwaka 2023, katika uwanja wa CCM Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara, Aprili Mosi, 2023 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwasha Mwenge wa Uhuru, wakati alipozindua Mbio za

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU AZINDUA JENGO LA EMD MASWA

    WAZIRI MKUU AZINDUA JENGO LA EMD MASWA0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezindua jengo la wagonjwa wa dharura kwenye hospitali ya wilaya ya Maswa ambalo limegharimu sh. milioni 311.   Akizungumza na mamia ya wakazi wa Maswa waliofika kushuhudia uzinduzi huo leo mchana (Jumapili, Machi 26, 2023), Waziri Mkuu amesema ameridhishwa na ujenzi na kwamba jengo hilo ni zuri. “Nimepita kwenye jengo lenu,

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU AAGIZA STENDI KUU BARIADI ITUMIKE KWA MABASI MAKUBWA NA MADOGO

    WAZIRI MKUU AAGIZA STENDI KUU BARIADI ITUMIKE KWA MABASI MAKUBWA NA MADOGO0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza stendi kuu ya mabasi katika mji wa Bariadi mkoani Simiyu ianze kutumika kwa mabasi makubwa na madogo ili kuondoa usumbufu kwa abiria. “Mkuu wa Mkoa wekeni utaratibu utakaofaa ili mabasi yaanzie pale na kuishia pale lakini haimaanishi kuwa muwapitilize abiria wanaoshukia au kupandia njiani.” Ametoa agizo hilo leo asubuhi (Jumapili,

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU AKAGUA MIRADI WILAYA YA ITILIMA

    WAZIRI MKUU AKAGUA MIRADI WILAYA YA ITILIMA0

    *  Wabunge wa Simiyu wammwagia sifa Rais Samia WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa shule ya sekondari ya Njalu katika kijiji cha Kimali, kata ya Nyamalapa, wilayani Itilima, mkoani Simiyu na kuagiza kwamba shule hiyo iwe ya mfano. “Ujenzi wa shule hii usiishie kwenye madarasa na majengo ya utawala tu, bado inahitaji mabweni ya

    READ MORE
  • AGIZO LA RAIS HALIPINGWI NA YEYOTE – MAJALIWA

    AGIZO LA RAIS HALIPINGWI NA YEYOTE – MAJALIWA0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema agizo la Mheshimiwa Rais halipingwi na mtu yeyote na akawataka watumishi wa umma kote nchini wazingatie hilo. “Agizo la Rais likishatolewa halipingwi na mtu yeyote, kinachofuata ni utekelezaji na siyo kukaa vikao na kupitisha maamuzi mengine ya kulipinga. Hili ni suala la itifaki, na ni la muhimu sana Serikalini,” amesisitiza.

    READ MORE
Translate »