RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Na Barnabas Kisengi,Dodoma Mafundi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira (DUWASA) wakiwa kazini kuendelea na kazi ya uwekaji mabomba katika mradi wa maji wa Ihumwa na Njedengwa katika Jiji la Dodoma ili kuweza kuhakikisha huduma ya maji safi na salama inawafikia wananchi wa Kata ya Ihumwa na Iyumbu ifikapo Oktoba mwaka huu
READ MORE– Afanya Mazungumzo na Waziri wa Mifugo kuhusu Mustakabali wa Mnada huo. :- Ni baada ya kutoridhishwa na Hali ya uchakavu wa Mnada huo.- Waziri wa Mifugo ampa Baraka zote kumsimamia Mkandarasi. :-Adhamiria kuupa hadhi Mnada huo. Na Mwandishi wetu, Dar Es salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amefanya Mazungumzo
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameipongeza benki ya NMB kwa kuendelea kuimarisha ushirikiano na taasisi za Serikali katika kuboresha upatikanaji wa huduma za afya. Ameyasema hayo leo (Jumatatu, Septemba 6, 2021) wakati akizindua Asasi ya Kiraia ya NMB. Uzinduzi huo umefanyika katika Hotel ya Kilimanjaro Hyatt jijini Dar es Salaam. “Nitoe wito kwa taasisi nyingine za
READ MORENa Barnabas Kisengi, Dodoma CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeiagiza Serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kununua tani 100,000 za mahindi katika Mikoa ya Nyanda za juu Kusini mara baada ya awali kukunua tani 24,000 sababu ni kutokana na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA) kudai kutakuwa na upungufu wa mvua msimu ujao wa kilimo.
READ MOREPicha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WAMJW Na Mwandishi Wetu Manyoni Serikali imesema ipo katika hatua za mwisho za Mapitio ya Sera ya Taifa ya Wazee ya mwaka 2003 kwa kushirikiana na wadau na imeendelea kutekeleza afua mbalimbali zinazolenga kutatua changamoto zinazowakabili Wazee. Hayo yamesemwa Wilayani Manyoni Mkoani Singida na Waziri wa Afya, Maendeleo
READ MORE