• TFS YATOA MSAADA MIUNDOMBINU YA SHULE

    TFS YATOA MSAADA MIUNDOMBINU YA SHULE0

    Wakala wa huduma za misitu [TFS] kupitia shamba la miti Morogoro wamegawa vifaa vya ujenzi vyenye thaman zaid ya milioni 5 katika shulea ya msingi sokoine wilaya ya mvomero kwa lengo la umaliziaji wa vyumba vya madarasa pamoja na umaliziaji wa zahanati mtaa wa mawasiliano Kata ya Mkundi Manispaa ya Morogoro. ikiwa ni kuunga mkono

    READ MORE
  • ALHAJ DK. MWINYI AMEKAMILISHA RATIBA YAKE KWA KUFUTARISHA MIKOA YA ZANZIBAR

    ALHAJ DK. MWINYI AMEKAMILISHA RATIBA YAKE KWA KUFUTARISHA MIKOA YA ZANZIBAR0

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amemuomba Mwenyezi Mungu kuwajaalia kheri na malipo mema ya swaumu, wananchi wa Mkoa wa Mkoa Mjini Magharibi waliojumuika pamoja nae katika hafla ya Futari. Dk. Mwinyi  ameomba dua hiyo leo katika  futari aliyoianda kwa ajili ya wananchi wa Mkoa Mjini Magharibi

    READ MORE
  • Dkt. Abbasi:  Mfuko wa Maendeleo ya Sanaa na utamaduni si ndoto tena nchini

    Dkt. Abbasi: Mfuko wa Maendeleo ya Sanaa na utamaduni si ndoto tena nchini0

    Na Mwandiahi Wetu-Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema Wizara rasmi inaanzisha Mfuko wa Maendeleo ya Utamaduni na Sanaa ambao utapitishwa kupitia Bajeti ya mwaka ujao wa Fedha wa 2021/2022. Mfuko huo utakuwa maalum kwa ajili ya kusaidia wasanii kupata mitaji ambayo itawasaidia kufanya kazi zao za Sanaa

    READ MORE
Translate »