Wakala wa huduma za misitu [TFS] kupitia shamba la miti Morogoro wamegawa vifaa vya ujenzi vyenye thaman zaid ya milioni 5 katika shulea ya msingi sokoine wilaya ya mvomero kwa lengo la umaliziaji wa vyumba vya madarasa pamoja na umaliziaji wa zahanati mtaa wa mawasiliano Kata ya Mkundi Manispaa ya Morogoro. ikiwa ni kuunga mkono
Wakala wa huduma za misitu [TFS] kupitia shamba la miti Morogoro wamegawa vifaa vya ujenzi vyenye thaman zaid ya milioni 5 katika shulea ya msingi sokoine wilaya ya mvomero kwa lengo la umaliziaji wa vyumba vya madarasa pamoja na umaliziaji wa zahanati mtaa wa mawasiliano Kata ya Mkundi Manispaa ya Morogoro. ikiwa ni kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya sita katika utoaji wa huduma bora za elimu ana afya kwa wananchi.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *