RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Watu wanne akiwemo mkuu wa chuo cha uuguzi Lugarawa Steven Mtega (39) wamefariki dunia kwa kuzama kwenye mto Lupali wakiwa kwenye gari waliyokua wakisafiria kata lugarawa wilayani Ludewa mkoani Njombe. Akizungumza kwa njia ya simu jana mganga mkuu wa wilaya ya Ludewa dkt Stanley Mlay,alisema tukio hilo limetokea febuari 27 majira ya usiku marehemu hao
READ MORENA WANDISHI WETU, MOROGORO. MKUU wa mkoa wa Morogoro, Loata Ole Sanare ameanzisha kampeni maalumu ya ujenzi wa mabweni kwa Shule zote za Sekondari ili ifikapo mwaka 2022 kusiwe na mwanafunzi yeyote atakayekuwa akisoma huku akikaa nyumbani kwa wazazi. Ole sanare amesema hayo akiwa wilayani Malinyi wakati akizungumza na Wanafunzi,Walimu,Viongozi mbalimbali wa Serikali na wakazi
READ MOREWaziri wa kilimo Profesa Adolf Mkenda ametoa tathimini ya kuwadhibiti na kuwateketeza nzige wa jangwani walioingia nchini mwanzoni mwa mwezi Januari mwaka huu ambapo hadi sasa nzige hao wamethibitiwa na wataalamu wa wizara ya kilimo kwa kushirikiana na Halmiashauri za Longido, Simanjiro na Siha. Profesa Mkenda amesema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa habari wilayani
READ MORERAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewahimiza waandishi wa habari kote nchini, kuzitumia vyema kalamu zao ili kwenda sambamba na dhamira ya Serikali ya Awamu ya nane ya kuimarisha amani, umoja na maridhiano ya Wazanzibari. Dk. Mwinyi amesema hayo katika ufunguzi wa Kongamano la kujadili matumizi
READ MOREKatika taarifa ya vyombo vya habari iliyotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said ilieleza kwamba kwa kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 9(3)cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, kinachosema kwamba “Muundo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar utakuwa wa Umoja wa Kitaifa na utendaji wa kazi zake
READ MORERAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amezindua mfumo wa “Sema na Rais Mwinyi (SNR Mwinyi)”, na kusisitiza kuwa amedhamiria kufanya hivyo ili kupata malalamiko ya wananchi wote kwa urahisi. Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo wakati akizindua mfumo wa kumfikia malalamiko kutoka kwa wananchi “Sema na Rais Mwinyi”, hafla
READ MORE