RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Zanzibar Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kusini Unguja kimetoboa siri ya ushindi wa ccm mwa 2020 imetokana na maandalizi kabambe, mshikamano , utendaji wa pamoja na maelewano thabit . Amesema bila ya kushikamana , kupeana taarifa za usahihi kati ya chama na jumuiya zake usingepatikana ushindi wa kishindo. Matamshi hayo yametamkwa na Mwenyekiti wa
READ MORETAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KAMILISHENI UTARATIBU WA BEI KIKOMO YA SARUJI-MAJALIWA WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara ikamilishe utaratibu wa kuwa na bei kikomo ya saruji ili kuuwezesha kila mkoa kujua bidhaa hiyo inapaswa kuuzwa kwa bei gani kwa nia ya kuondoa upandishwaji holela unaofanywa na wafanyabiashara wasiokuwa waaminifu. Pia,
READ MORENa Barnabas kisengi-Dodoma Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu,John Samuel Malecela,amesema,serikali ya awamu ya tano imeondoa kilichoonekana kuwa kujitegemea ni nadharia kufuatia vitendo ikiwemo vya kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ya matrilioni ya shilingi kwa fedha za ndani na kugharamia uchaguzi mkuu wa hivi karibuni. Mzee Malecela,katika mahojiano maalum na kituo hichi
READ MORETaarifa kwa vyombo vya habari. Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dkt. Hussein Alli Mwinyi kesho jumanne 08/12/2020 saa 6.00 mchana atamwapisha makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharifu Hamad katika hafla itakayofanyika Ikulu Zanzibar. act.wazalendo.
READ MOREKatibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na msemaji wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi, ameyaagiza mashirikisho na vyama mbalimbali vya michezo nchini ambavyo vinasimamia Timu za Taifa kuwasilisha ratiba na mikakati ya timu hizo kwa mwaka 2021 mwishoni mwa mwezi huu. Dkt. Abbasi ameyasema hayo leo Dar es Salaam alipokuwa akifungua na kisha
READ MORE