RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Taarifa kwa vyombo vya habari. Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dkt. Hussein Alli Mwinyi kesho jumanne 08/12/2020 saa 6.00 mchana atamwapisha makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharifu Hamad katika hafla itakayofanyika Ikulu Zanzibar. act.wazalendo.
READ MOREKatibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na msemaji wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi, ameyaagiza mashirikisho na vyama mbalimbali vya michezo nchini ambavyo vinasimamia Timu za Taifa kuwasilisha ratiba na mikakati ya timu hizo kwa mwaka 2021 mwishoni mwa mwezi huu. Dkt. Abbasi ameyasema hayo leo Dar es Salaam alipokuwa akifungua na kisha
READ MOREMbunge wa Jimbo la chamwino mkoani Dodoma ambaye pia ni Naibu Waziri Mteule wa Wizara ya Ofisi ya Rais Menejimenti utawala bora na utumishi wa umma Mh Deogratus Ndejembi amewaahidi wananchi ya Kata ya haneti kuwahakikishia atashirikiana nao katika kutatua changamoto zote zilizopo kwenye Kata hiyo kadri ya uwezo wake ili kuleta maendeleo katika Kata
READ MOREANZA WIKI KWA KUTENGENEZA MAHUSIANO MAZURI NA MUNGU ALIYEHAI Bwana Yesu Kristo aliyehai asifiwe❗ tumshukuru Mungu kwa Kuwa anatupenda na ameachilia uzima kwetu. Achana na changamoto za maisha yako Bali mshukuru Sana Mungu kwa Kuwa anatutunza. Jambo la msingi kumbuka Mungu hatuachi kuendelea kuishi ili kukidhi mahitaji yetu la hasha bali tumtumikie kwa Mapenzi yake
READ MOREWAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amekagua umaliziaji wa ujenzi wa Hospitali ya Uhuru unaoendelea katika wilaya ya Chamwino, Dodoma na kuagiza huduma zianze kutolewa ifikapo Desemba 20 mwaka huu. Amekagua hospitali hiyo leo (Jumapili, Desemba 6, 2020) na amesema vifaa vyote zikiwemo samani, vifaa tiba vinavyotakiwa kuwepo kwenye hospitali hiyo vipelekwe na vifungwe ili huduma zianze
READ MOREKatibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi, leo akiwa jijini Dar es Salaam amewaagiza Wanasheria walioajiriwa na Serikali katika taasisi za Wizara hiyo kama Basata, Cosota na Bodi ya Filamu kutoa msaa wa aheria bure kwa wadau wao hasa wasanii. “Leo hapa nimesikia jinsi wasanii wanavyodhulumiwa na mitandao inayotumia kazi
READ MORE