RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
NA. FIDEA MASUNGA MBUNGE WA JIMBO LA SEGEREA MH.BONNA KAMOLI AWAAHIDI WAKAZI WA JIMBO HILO KUWATAFUTIA UFUMBUZI WA KERO YA UBOVU WA MIUNDOMBINU YA BARABARA INAYOWAKABILI KWA MUDA MREFU ILI KUEPUKA ATHARI MBALIMBALI ZINAZOWEZA KUJITOKEZA HASA YA MAFURIKO. MH. KAMOLI AMETOA KAULI HIYO WAKATI WA ZIARA YA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA KATIKA BAADHI YA
READ MOREWAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameziagiza mamlaka zote za udhibiti zihakikishe kuwa bidhaa zinazoingizwa nchini kwa ajili maonesho mbalimbali zinakuwa na viwango vya kimataifa na pia bidhaa zisizo na viwango na bidhaa bandia hazipati nafasi ya kuingia kwenye soko la Tanzania. Hata hivyo, Waziri Mkuu amewataka wamiliki wa viwanda wazalishe bidhaa kwa wingi na kwa kutumia
READ MORENa. Barnabas Kisengi Dodoma. Utafiti wa rushwa ya ngono katika taasisi za elimu ya juu uliohusisha vyuo vikuu viwili vya Dar es Salaam na Dodoma umewasilishwa leo Disemba 4,2020 jijini Dodoma. Mtafiti wa rushwa ya ngono nchini, Dkt. juvinary John amesema katika utafiti huo jumla ya watu 589 walihojiwa juu ya uelewa wa rushwa ya
READ MOREBwana Yesu Kristo aliyehai asifiwe❗Nina mtukuza Mungu aliyehai anayetupenda na kuachilia uzima kwetu. Ninamshukuru Sana YEHOVA Mungu wetu kwa ulinzi wake kwetu Kama familia ya Amani choir. Hii Ni neema ya ajabu sana maana Kama si BWANA na Israel aseme. Kama si Mungu aliyehai na mtu aseme basi kwamba Ni mkono wake umetufikisha hapa tulipo.
READ MORETAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mradi wa ujenzi wa kivuko kipya cha Mv. Kilindoni Hapa Kazi Tu kitakachokuwa kinafanya safari kati ya kisiwa cha Mafia na Nyamisati umefikia asilimia 98 na kwamba ifikapo Desemba 15 mwaka huu kitaingia majini kwa mara ya kwanza. ’’Wana-Mafia tumekuwa tukizungumza sana sasa tumefikia hatua
READ MORETAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewatakaa waajiri wote nchini wawe tayari kuwapokea na kuwapa ushirikiano watu wenye ulemavu ili waweze kupata fursa ya kuchangia katika shughuli za ujenzi wa Taifa kama sheria ya ajira na mahusiano kazini inavyotaka. Pia amewaagiza waajiri wote wahakikishe wanazingatia sheria namba tano (5) ya mwaka 2003
READ MORE