RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, amesema amekiandikia barua chama cha demokrasia na maendeleo kuomba mgombea urais wa chama hicho Tundu Lissu, kufika kituo cha polisi kujieleza undani wa nani anayemtishia. IGP Sirro ametoa kauli hiyo hii leo Novemba 19, 2020, jijini Dar es Salaam, wakati akitoa taarifa ya mwenendo wa usalama wakati wa uchaguzi
READ MORERais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema amekiandikia barua chama cha ACT- Wazalendo kukiomba kupeleka jina la makamu wa kwanza wa Rais baada ya chama kupata asilimia ya zaidi ya 10 kwa mujibu wa Katiba. Amesema hayo leo November 19, 2020 Ikulu Zanzibar alipokuwa akijibu swali la mwandishi wa habari, alifafanua zaidi kuwa baada ya
READ MORESERIKALI imezindua mfumo wa usalama wa kamera 306 zenye thamani ya shilingi bilioni 1.2 kwenye ukuta unaozunguka migodi ya madini ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wenye lengo la kuhakikisha usalama na ulinzi wa rasilimali hiyo. Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini Profesa Simon Msanjila akizungumza jana mji mdogo wa Mirerani
READ MOREBARAZA JIPYA LA MAWAZIRI ZANZIBAR: 1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uchumi na Uwekezaji – Mheshimiwa Mudrik Ramadhan Soraga. 2. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) – Mheshimiwa Masoud Ali Mohammed. 3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba na Utawala Bora – Mheshimiwa Haroun Ali
READ MORE“Nimeangalia wauguzi, nimeangalia madaktari hakuna aliyevaa jina ili atambulike hiyo ni kasoro kubwa katika utoaji wa huduma ya afya, kwanza lazima mtu atambulike kama anatoa huduma ili kama mtu ana tatizo aseme hakufanyiwa huduma nzuri na nani kwa hili nitawataka uongozi warekibishe mara moja” Dkt.Mwinyi “Nimeona kuna baadhi ya huduma hazifanyiki si kwa sababu hatuna fedha
READ MOREDODOMA. SERIKALI imekiri kuwepo kwa changamoto ya muda mrefu ya Wananchi wengi kutokuwa na uelewa wa kisheria katika masuala ya usimamizi wa mirathi katika ngazi ya familia hali inayochangia watu wengi kudhulumiwa haki zao za msingi. Sambamba na hilo pamoja na kuwepo kwa Sheria mahsusi zilizotungwa kwa ajili ya kuwezesha usimamizi bora wa mirathi bado
READ MORE