WIZARA YA ELIMU YATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI NA WATUMISHI KUHUSU MASUALA YA PROTOKALI
- ELIMU
- November 1, 2022
Na WMJJWM Mafinga, Iringa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeagiza kuboreshwa kwa miundombinu ya kusomea na kujifunzia katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Rungemba kilichopo Mafinga mkoani Iringa Akizungumza mara baada ya kuhitimisha ziara hiyo Mwenyekiti wa Kamati hiyo Stanslaus Nyongo amesema, Kamati imeridhishwa na miradi yote miwili licha
READ MOREWaziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof. Adolf Mkenda akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi na kamati tendaji ya Scauti Tanzania akiwa ameambatana na Scauti Mkuu Tanzania Bi Mwantumu Maiza kilichofanyika Ofisini kwake Jijini Dar es salaam leo tarehe 18 Machi 2022. (Picha Zote Na Mathias Canal) Wajumbe wa kamati tendaji ya Scauti Tanzania wakimsikiliza kwa
READ MORENa Mathias Canal, Dar es salaam Serikali imejipanga kuhakikisha kuwa watoto wenye mahitaji maalum wanapata huduma zote stahiki ikiwemo elimu kama ilivyo kwa wanafunzi wengine. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda ameyasema hayo leo tarehe 7 Machi 2022 mbele ya mgeni rasmi-ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe
READ MORENa WyEST, MWANZA Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imefanikiwa kupata eneo la ujenzi wa kambi ya Skauti yenye hadhi ya Kimataifa katika eneo la Chigongwe Jijini Dodoma. Hayo yamesemwa Jijini Mwanza Februari 19, 2022 na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Omari Kipanga (Mb) alipomuwakilisha rais wa Skauti ambaye pia ni Waziri
READ MOREWaziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda ametangaza rasmi kuongeza muda wa usajili wa wabunifu hadi tarehe 28,Februari ,2022 . Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 16,2022 kuhusu maadhimisho ya wiki ya ubunifu na mashindano ya kitaifa ya Sayansi ,Teknolojia na Ubunifu[MAKISATU]2022 Prof.Mkenda amesema hiyo itasaidia kuongeza fursa kwa wabunifu mbalimbali kuendelea kujisajili .
READ MORE