CHANJO CORONA LAZIMA WANAOTAKA KWENDA KUISHI SAYARI YA MARS
- Sayansi na Teknolojia
- August 9, 2021
Na Morin Rojas Dodoma Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) Justina Mashiba amesema kuwa mfuko huo unatarajia kutumia shilingi 575,000,000 ,kwa ajili ya Mradi wa Kupeleka Vifaa Maalum vya TEHAMA vya Kujifunzia kwa Shule 16 Zenye watoto wenye mahitaji maalum hapa nchini.Bi Mashiba ameyasema hayo Februari 13,2023 Jijini Dodoma, wakati akielezea utekelezaji
READ MORENa Barnabas Kisengi Dodoma Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew ameitaka Bodi teule ya Shirika la Posta Tanzania kuifanikisha mpango mkakati wa Serikali wa kulifanya Shirika hilo kuwa kitovu cha Biashara Mtandao kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Kusini mwa Afrika (SADC). Mhandisi
READ MORENa Barnabas Kisengi Malinyi Morogoro Serikali imesisitiza wananchi na taasisi kuhakiki taarifa zao za Anwani za Makazi nchini kuwa taarifa hizo niza msingi katika kutoa na kupokea huduma kwa kuhakikisha kuwa mawasiliano yote yakiwemo ya barua yanatumia Anwani za Makazi, fomu zote za kutolea na kupokelea huduma na Mifumo ya Huduma ya Kielektroniki inajumuisha kipengele
READ MORENa Moreen Rojas-Dodoma Takwimu za sasa zinaonesha matumuzi ya intaneti yameongezeka kwa asilimia 4.2 kutoka milioni 29,858,759 mwaka 2021 hadi kufukia 31,122,163 mwezi septemba 2022.Hayo yameelezwa na Dkt.Jabir Bakari Mkurugenzi Mkuu (TCRA) wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma kuhusu taarifa ya utendaji wa majukumu kwa mwaka 2021/22 na mpango kazi 2022/23. Amesema kuwa
READ MORENa Barnabas Kisengi, Dodoma Katibu mkuu Wizara ya Habari, mawasiliano na teknolojia ya Habari Jimmy Yonazi amewataka wafanyakazi wa sekta ya mawasiliano nchini kukuza maarifa na kuwa na uchumi shindani wa kidijitali ili kuwa kitovu cha watu kujifunza namna ya kutafuta fursa katika taasisi za kimataifa. Akizungumza leo jijini Dodoma katika kikao kazi cha uchambuzi
READ MORE