🔷Hoja Saba za Samia Mwaka mpya Bonyeza👇👇
READ MORENa Mwandishi wetu , DODOMA. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amevitaka Vyama vya Siasa nchini kuacha siasa za chuki na uhasama ambazo zinaleta uvunjifu wa amani na hazina tija kutokana na kukiuka demokrasia ya ushindani bali watumie fursa ya vyama vingi vya siasa katika kasi ya kuwaletea wananchi maendeleo. Rais Samia ameyasema hayo leo Jijini
READ MORENa Heri Shaaban( CCM Ilala ) JUMUIYA ya Wazazi Wilaya imeanza mikakati ya kujenga nyumba ya Katibu wa Wazazi wa Wilaya Ilala. Mkakati huo umenza hivi karibuni kufuatia Mtumishi wake kukosa nyumba kuishi. Akizungumza katika Bonanza la Wazazi Dar Salam Mwenyekiti wa Wazazi Wilaya ya Ilala , Mohamed Msophealisema mkakati huo wa kujenga umeanza hivi
READ MOREChama Cha Mapinduzi (CCM) katika kuendelea kufanya mageuzi ya kiuongozi na kiutendaji ili kukidhi mahitaji ya wakati, mwenendo wa mabadiliko ya siasa za dunia na madhumuni ya Chama chetu katika kuwatumikia wananchi kikamilifu. Hivyo Chama kimefanya uteuzi wa makatibu wa mikoa 32, waliobaki vituo vyao vya kazi ni 10, waliopangiwa vituo vipya ni 12 na
READ MORE