DKT. EMMANUEL JOHN NCHIMBI ACHAGULIWA KUWA KATIBU MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM TAIFA Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan, Akifurahi Pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Bara Ndg. Abdulrahman Kinana na Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Emmanuel Nchimbi leo 15 Januari, 2024
DKT. EMMANUEL JOHN NCHIMBI ACHAGULIWA KUWA KATIBU MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM TAIFA
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan, Akifurahi Pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Bara Ndg. Abdulrahman Kinana na Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Emmanuel Nchimbi leo 15 Januari, 2024 Mjini Unguja Zanzibar.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Bara Ndg. Abdulrahman Kinana akipeana mikono na Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Emmanuel Nchimbi alipowasili Katika Kikao Cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) leo 15 Januari, 2024 Mjini Unguja Zanzibar.