Na Barnabas Kisengi Dodoma Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Aksoni amesema Ofisi ya Bunge imeanzisha utaratibu wa kuwa na Bonanza la michezo kwa waheshimiwa wabunge na watumishi wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Dkt Tulia amesema mabonanza hayo yatafanyika mara nne kila mwaka katika vipindi vya mikutano
READ MORE- Bungeni, Habari
- November 3, 2022
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa zoezi la utambuzi wa mifugo kwa kutumia hereni za kielektroniki na kuzuka kwa moto katika Hifadhi ya Taifa ya Kilimanjaro, Bungeni jijini Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa zoezi la utambuzi wa mifugo kwa kutumia hereni za kielektroniki na kuzuka kwa moto
READ MORE- Bungeni, Habari
- September 23, 2022
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inatambua mchango mkubwa uliotolewa na marehemu Balozi Paul Rupia wakati wa utumishi wake na hata baada ya kustaafu. “Moja ya jambo ambalo halitasahaulika ni uthubitu wake wa kuanzisha Benki ya Watu wa Dar es Salaam (DCB) ambayo alikuwa mwenyekiti wake na hadi anaondoka katika uongozi aliicha benki hiyo ikiwa
READ MORE