• WAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE  KIBWAKWE

    WAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE KIBWAKWE0

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu (Mb) Mhe. George Simbachawene akizungumza na wananchi wa kata ya Mangaliza katika mkutano wa hadhara alioufanya katika jimbo la Kibakwe Halmashauri ya Mpwapwa. Na Mwandishi wetu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene ameagiza Halmashauri ya wilaya

    READ MORE
  • WAZIRI BITEKO AFAFANUA MIKAKATI KWENYE MADINI

    WAZIRI BITEKO AFAFANUA MIKAKATI KWENYE MADINI0

    HOTUBA YA WAZIRI WA MADINI DKT. DOTO M. BITEKO AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI WAKATI AKIFAFANUA UTEKELEZAJI WA VIPAUMBELE VYA BAJETI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2022/23 TAREHE 12 JULAI, 2022 – MKOANI GEITA NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. Ndugu Wanahabari, Kwanza nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa wingi wa

    READ MORE
  • MHE. SIMBACHAWENE, BARABARA YA MAKOSE IDODOMA ITAKARABATIWA

    MHE. SIMBACHAWENE, BARABARA YA MAKOSE IDODOMA ITAKARABATIWA0

    Na Barnabas Kisengi-Mpwapwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene amesema serikali kupitia Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imetenga fedha kiasi cha million 626 kukarabati na kutengeneza katika barabara ya Makose kwenda Idodoma.  “Umbali wa km 25 wa kipande cha barabara utachongwa, km 21 zitawekwa changarawe na km1

    READ MORE
  • RAIS MWINYI AMEFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA

    RAIS MWINYI AMEFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali   Mwinyi akimsikiliza Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia anayesimamia Kanda ya Kusini mwa Afrika,Bi.Victoria Kwakwa (kushoto) wakati wa mazungumzo akiwa na ujumbe aliofuatana nao leo walipofika  Ikulu Jijini Zanzibar (kulia) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Dkt.Saada Mkuya Salum. Rais wa Zanzibar na

    READ MORE
  • WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUHAMASISHA ZOEZI LA SENSA

    WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUHAMASISHA ZOEZI LA SENSA0

    Na Mwandishi Wetu-Dar es Salaam OFISI ya Taifa ya Takwimu Tanzania (NBS) imewaomba waandishi wa habari kupitia kalamu zao kuhamasisha Watanzania kuhusu zoezi la Sensa ya Watu na Makazi linalotajariwa kufanyika Agosti 23, mwaka huu ambapo Maandalizi yake yamefikia zaidi ya asilimia 80. Afisa Masoko Mwandamizi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania (NBS),Andrew Punjila

    READ MORE
  • SPIKA TULIA AONGOZA WABUNGE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA 51 WA SADC   PF

    SPIKA TULIA AONGOZA WABUNGE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA 51 WA SADC PF0

    Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akichangia mada kuhusu mwelekeo wa upatikanaji wa nishati ya uhakika, endelevu na inayojitosheleza katika Ukanda wa Kusini mwa Afrika wakati wa Mkutano wa 51 wa Jukwaa la Mabunge ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC – PF) katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Bingu Jijini Lilongwe

    READ MORE
Translate »