RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wanachama wa Chama cha Mapinduzi kuchagua Viongozi madhubuti wenye uwezo wa kukivusha chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025. Dk. Mwinyi ametoa wito huo katika salamu alizotoa kwa wanachama na Viongozi wa
READ MOREFULL TIME: #AFCON2023 🏟️ Stade de l’Amitié NIGER 🇳🇪 1 – 1 🇹🇿 TANZANIA⚽ Sosah 26′⚽ Mpole 1′ Goli la Dakika 26 la Daniael Sosah wa Niger linainyima Tanzania kukaa kileleni mwa kundi F kuwania kufuzu kucheza kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON-2023) itakayo timua vumbi huko nchini Ivory Coast. Tanzania ikiongozwa na Nahodha Mbwana
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Amewataka Wakandarasi wazawa hapa nchini kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia waledi na uzalendo kwa kuzingatia maadili ya taaluma yao ili serikali iendelee kuwaamini katika kuwapa miradi malimbali inayoendelea kujengwa.Kauli hiyo ameitoa leo wakati alipowapigia simu na kuwapa maelekezo hayo wakati wa kongamano la wakandarasi
READ MOREKamati ya Ushauri ya Sensa ya Watu na Makazi imefanya kikao kazi cha utekelezaji wa Sensa ya Mwaka 2022. Katika kikao hiki, Kamati imepokea taarifa ya hali ya maandalizi kuelekea Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 itakayofanyika tarehe 23 Agosti, 2022. Jukumu kubwa la Kamati ya Ushauri ni kuishauri Kamati Kuu ya Taifa
READ MORE#VIDEO: MAJALIWA AVUA UWAZIRI MKUU, AJICHANGANYA KUMWAGA ZEGE
READ MORE