Ni rasmi klabu ya Yanga itacheza fainali ya kombe la Shirikisho la Azam hapo Julai 2. Hii ni baada ya Coastal Union FC kutoka Tanga kutinga fainali baada ya kuifunga kwenye mikwaju ya penalti Azam FC 6-5. Mchezo huo umepigwa leo katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ambapo ambapo timu hizo mpaka dakika
READ MORERais wa heshima wa Simba Mohamed Dewji kupitia Twitter kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya Yanga: ποΈβHuu umekuwa msimu mbaya zaidi kwa Simba katika kipindi cha miaka 5 iliyopita.Bodi inahitaji kufanya maamuzi magumu kwa ajili ya kusonga mbele. Tunahitaji kuifanyia marekebisho timu.
READ MORE- Habari, Kitaifa
- May 28, 2022
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Mdhibiti naMkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwaWatanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi mia moja na nne (104) kamailivyoainishwa katika tangazo hili. BONYEZA LINK HAPO CHINI KUSOMA TANGAZO LA
READ MORE