Rais wa heshima wa Simba Mohamed Dewji kupitia Twitter kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya Yanga: 🎙️“Huu umekuwa msimu mbaya zaidi kwa Simba katika kipindi cha miaka 5 iliyopita.Bodi inahitaji kufanya maamuzi magumu kwa ajili ya kusonga mbele. Tunahitaji kuifanyia marekebisho timu.
Rais wa heshima wa Simba Mohamed Dewji kupitia Twitter kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya Yanga:
🎙️“Huu umekuwa msimu mbaya zaidi kwa Simba katika kipindi cha miaka 5 iliyopita.Bodi inahitaji kufanya maamuzi magumu kwa ajili ya kusonga mbele.
Tunahitaji kuifanyia marekebisho timu.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *