- Habari, Kitaifa
- January 12, 2022
Assalamu Aleikum. Tunamshukuru Mwenyezi Mtukufu, Mwingi wa Rehma kwa kutujaaliya uhai na afya njema na kutuwezesha kufikia siku ya leo, tukielekea katika kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar ya Januari, 12 mwaka 1964 yatakayofanyika kesho tarehe 12 Januari, 2022 katika uwanja wa Amani. Tunasherehekea na kuadhimisha kutimia miaka 58, tangu wananchi wa
READ MORE- Habari, Kitaifa
- January 12, 2022
Kikundi cha Komando kikipita kutoa heshima wakati wa Maadhimisho ya miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika leo Januari 12, 2022 katika uwanja wa Amaani Karume Zanzibar. Maadhimisho ya miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika leo Januari 12, 2022 katika uwanja wa Amaani Karume Zanzibar. Mgeni Rasmi ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
READ MORE- Habari, Kilimo, Kitaifa
- January 12, 2022
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amekabidhi Ofisi kwa Waziri mpya wa Kilimo Hussein Bashe huku alieleza kuwa amekabidhi kwa mtu anayejua vizuri. Hayo ameyasema jijini Dodoma leo tarehe 11 Januari 2022 wakati akikabidhi Ofisi kwa Waziri huyo Mara baada ya kuapishwa rasmi jana ambapo ametumia nafasi hiyo kuwashukuru watumishi wa wizara
READ MORE