• MAISHA YA WATANZANIA YAZIDI KUBORESHWA , TIGO WATOA PIKIPIKI NYINGINE PROMOSHENI YA WAJIFTISHE

    MAISHA YA WATANZANIA YAZIDI KUBORESHWA , TIGO WATOA PIKIPIKI NYINGINE PROMOSHENI YA WAJIFTISHE0

    Na Mwandishi Wetu.  Ikiwa ni takribani mwezi mmoja tangu kuzinduliwa kwa kampeni  ya WAJIFTISHE GIFTI JUU YA GIFTI inayoendeshwa  na Kampuni inayoongoza kwa utoaji wa huduma za Kidigitali hapa nchini Tigo Tanzania, Bibi  Frola Willison Rutabingwa ameibuka mshindi wa pikipiki aina ya Boxer kupitia KAMPENI YA TIGO “WAGIFTISHE  GIFT JUU YA GIFT” baada ya kununuliwa 

    READ MORE
  • Wanafunzi 907,803 kuanza Kidato cha kwanza,2022.

    Wanafunzi 907,803 kuanza Kidato cha kwanza,2022.0

    Kwa upande wa Kidato cha Kwanza mwaka 2022 jumla ya wanafunzi 907,803 wakiwemo wavulana 439,836 na wasichana 467,967 wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka 2021 ikilinganishwa na wanafunzi 833,872 waliojiunga kidato cha kwanza 2021. Wanafunzi hao wanatarajiwa kuanza masomo tarehe 17 Januari, 2022 na orodha yao tayari imekwishatolewa ikionesha shule wanazotakiwa kusoma. Uchambuzi unaonesha

    READ MORE
  • Rais Dkt.Mwinyi amejumuika katika sala ya kumuombea marehemu Mzee Omar.

    Rais Dkt.Mwinyi amejumuika katika sala ya kumuombea marehemu Mzee Omar.0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi leo amejumuika pamoja na wanafamilia, wananchi pamoja na viongozi mbali mbali katika sala na dua ya kumuombea marehemu Mzee Machano Mwadini Omar, Sheha wa Shehia ya Kwahani, huko kijijini kwao Chaani Masingini, Mkoa wa Kaskazini Unguja. Aidha, Rais Dk. Mwinyi alitumia

    READ MORE
Translate »