RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Na Barnabas Kisengi-Dodoma WIZARA ya Elimu Sayansi na Teknolojia imezindua Mkataba wa huduma kwa Mteja ambao una lengo la kuboresha utendaji kazi kwa watumishi wa wizara hiyo hasa katika utoaji huduma kwa wateja ambao ndio wadau wakubwa wa wizara hiyo. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Mkataba huo leo Jijini Dodoma Naibu Waziri wa Wizara hiyo
READ MOREBaraza Kuu la waislamu wa Tanzania (BAKWATA) linawajulisha waislamu na wananchi wote kwa ujumla kuwa Sikukuu ya Eid El-Fitr itakuwa siku ya Alhamisi tarehe 13/05/2021 au Ijumaa 14/05/2021 kutegemea kuandama kwa mwezi. Sherehe za Eid El-Fitr kitaifa kwa mwaka huu zitafanyika mkoani Dar es Salaam.Swala ya Eid itaswaliwa katika viwanja vya Mnazi mmoja kuanzia saa 1.30 asubuhi. Kwa niaba ya Baraza Kuu
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amewasilisha bungeni hotuba ya makadirio ya bajeti ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2021/22 jumla ya Shilingi Bilioni 680.3 Akiwasilisha bejeti hiyo Waziri Aweso ameeleza mafanikio yaliyopatikana kutokana na utekelezaji wa miradi mbalimbali katika sekta ya maji katika kipindi cha Julai, 2020 hadi Machi, 2021
READ MOREKikosi cha wachezaji 22 wa KMC FC kitaondoka Jijini Dar es Salaam kesho asubuhi kuelekea Ruangwa Mkoani Lindi kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara dhidi ya Namungo utakaochezwa siku ya Jumapili ya Mei 9 katika Uwanja wa Majaliwa Mkoani humo. Kikoso hicho cha wana Kino Boys , kinakwenda kukutana na Namungo
READ MORE