Mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Morogoro zimeendelea kuleta madhara mbalimbali ikiwemo kusababisha vifo vya watu takribani watatu katika kipindi cha wiki mbili baada ya watu hao kufa maji wakati wakijaribu kuvuka katika Mto Morogoro Akizingumza mara baada ya kufanikiwa kuopoa mwili wa mtu mmoja ambaye jina lake halikutambulika mara moja ambaye amekutwa amekufa maji katika maporomoko ya
Mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Morogoro zimeendelea kuleta madhara mbalimbali ikiwemo kusababisha vifo vya watu takribani watatu katika kipindi cha wiki mbili baada ya watu hao kufa maji wakati wakijaribu kuvuka katika Mto Morogoro
Akizingumza mara baada ya kufanikiwa kuopoa mwili wa mtu mmoja ambaye jina lake halikutambulika mara moja ambaye amekutwa amekufa maji katika maporomoko ya mto Morogoro, mkaguzi msaidizi wa jeshi la zimamoto na uokoaji, Fadhili Makala, kutoka jeshi la zimamoto na uokoaji Morogoro amewataka wananchi kuacha tabia ya kujaribu kuvika kwenye mito ambayo hawajui kina cha maji kilivyo hali inayohatarisha maisha yao.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *