RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Na Mwandishi wetu, MBEYA Wakazi wa Jiji la Mbeya, wamekumbwa na adha ya usafiri baada ya madereva wa magari ya kusafirisha abiria maarufu kwa jina la daladala kugoma kufanya kazi wakishinikiza Serikali kuziondoa bajaji kwenye Barabara Kuu. Mgomo huo umeanza alfajiri ya leo ambapo madereva daladala wamesema bajaji zinasababisha kazi yao kuwa ngumu na kuwapunguzia
READ MOREJeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limethibitisha kuwa linamshikilishia Tito Augustino Kiliwa Mkazi wa Mufindi kwa kosa la Kuchapisha kwenye Mtandao wa Facebook taarifa za uzushi kuwa Rais Magufuli anaumwa. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa Rienada Millanzi amesema March 11,2021, kupitia ukurasa wa Facebook, Mtuhumiwa aliandika Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
READ MORERAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza haja kwa Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale kubadilika kwani hariziki na jinsi sekta ya Utalii inavyoendeshwa hasa ikizingatiwa kwamba uchumi wa Zanzibar unategemea sekta hiyo. Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo leo Ikulu Jijini Zanzibar wakati alipokutana na uongozi wa
READ MORENa MWANDISHI WETU, MOROGORO WIZARA ya mifugo imesema itawachukulia hatua kali ikiwemo kuwafutia leseni zao wachunaji wa ngozi katika machinjio ya manispaa ya Morogoro wanaotoboa ngozi za mifugo na kuifanya kukosa thamani licha ya kupatiwa mafunzo na vitendea kazi Akizungumza mara baada ya kufanya ziara ya kukagua uzalishaji wa ngozi bora zinazohitajika katika soko, kaimu
READ MORENa Mwandishi wetu-Dar es Salaam March 15, 2021 Serikali imepongezwa kwa kutenga shilingi bilioni 15.5 kwa ajili ya uwekezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha kisasa cha kufanya vipimo vya Saratani kwa kutumia teknolojia ya nyuklia (PET CT Scan) pamoja na kiwanda cha kuzalisha Mionzi dawa (Radio Isotopes) Pongezi hizo zimetolewa leo na Mwenyekiti
READ MORENa Barnabas Kisengi- March 15, 2021 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya kudhibiti na kusimamia mapato ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mh George Simbachawene leo Machi 15, 2021 amefungua kikao kazi cha kupitia taarifa ya kamati ya kusimamia,kudhibiti na kuratibu mapato na matumizi ya Wizara
READ MORE