RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo
- January 14, 2022
Vikao vya kamati za Bunge la Tanzania vinatarajiwa kuanza Januari 18 hadi 31, 2021 jijini Dodoma vikiwa ni vya kwanza tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020 huku chama cha CCM kikiibuka na ushindi mkubwa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumatatu Januari 13, 2021 inaeleza kuwa shughuli zitakazofanywa ni pamoja na uchaguzi
READ MOREKesi ya wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) waliofukuzwa kwa kuwapa wagonjwa dozi kubwa za dawa kuliko mahitaji, wakitumia jina la daktari “hewa”, imeanika mbinu za wizi wanazotumia watumishi wasio waaminifu katika hospitali za umma. Kufukuzwa kazi kwa Andrew Komba na Nelson Ileta, ambao pia walithibitika kutumia fomu batili za Mfuko wa Taifa wa
READ MOREMnadhiri. 1 Bwana akamwambia Mose, 2“Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Ikiwa mwanaume au mwanamke anataka kuweka nadhiri maalum, nadhiri ya kutengwa kwa ajili ya Bwana kama Mnadhiri, 3ni lazima ajitenge na mvinyo na kinywaji kingine chochote chenye chachu, na kamwe asinywe siki itokanayo na mvinyo au itokanayo na kinywaji kingine chenye chachu. Kamwe asinywe maji ya zabibu wala kula zabibu mbichi
READ MOREMamlaka ya mawasiliano ya Uganda imeyaamuru makampuni ya huduma za intaneti, kuifunga mitandao ya kijamii siku mbili kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika. Katika barua ambayo shirika la habari la AFP limeipata, mkurugenzi wa mamlaka ya mawasiliano ya Uganda UCC Bi. Irene Sewankambo ameyaagiza makampuni ya mawasiliano kusitisha mara moja matumizi ya mitandao ya kijamii na
READ MORENaibu waziri ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali ya mitaa (TAMISEMI) Mh Devidi Silinde amemsimamisha kazi mkuu wa shule ya secondary wilayani mbulu huku akimwagiza afisa elimu secondary kuandika barua ya kujieleza kwanini wamemdangaja juu ya bei ya ununuzi wa saruji na kutokamilika kwa ujenzi wa shule wilayani mbulu. Silinde ametoa kauli hiyo
READ MORE