Na Barnabas Kisengi- March 15, 2021 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya kudhibiti na kusimamia mapato ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mh George Simbachawene leo Machi 15, 2021 amefungua kikao kazi cha kupitia taarifa ya kamati ya kusimamia,kudhibiti na kuratibu mapato na matumizi ya Wizara
Na Barnabas Kisengi- March 15, 2021
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya kudhibiti na kusimamia mapato ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mh George Simbachawene leo Machi 15, 2021 amefungua kikao kazi cha kupitia taarifa ya kamati ya kusimamia,kudhibiti na kuratibu mapato na matumizi ya Wizara hiyo kwa kipindi cha robo ya kwanza na ya pili ya mwaka wa fedha 2020/2021. Kikao kazi hicho kimefanyika jijini Dodoma.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *