RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Na Barnabas kisengi NjombeMarch 12 2021 Waziri wa Kilimo Profesa Adolf Mkenda amesema ili kukabiliana na kushuka kwa kiwango cha uzalishaji wa zao la chai nchini wizara yake itawekeza kwenye miundombinu ya umwagiliaji na uzalishaji wa miche bora ili zao la chai lilimwe kwenye maeneo mengi nchini. Amesema wizara ya kilimo itahakikisha inatumia wataalaam wake
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma March 12, 2021 Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mh Antony Mavunde leo march 12, 2021 ameongozana na wataalamu kutoka Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini TARURA kukagua na kuona barabara za mtaa wa chinyoya Kata ya kilimani jinsi miundombinu ya barabara hizo za mtaa wa chinyoya zilivyo haribika kutokana na vua zinazoendelea
READ MOREWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amewataka watanzania kuwapuuza wapotoshaji wanaosambaza taarifa za chuki, uongo na kuzua taharuki miongoni mwa wanajamii kuhusiana na afya ya Rais John Pombe Magufuli. Akizungumza baada ya Swala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Waziri Mkuu Majaliwa amesisitiza kuwa tabia ya watanzania wenzetu
READ MOREKikao kazi cha wataalamu wa sheria kutoka taasisi mbalimbali wakiongozwa na Wanasheria kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, hivi karibuni kilianza kazi ya kutafsiri sheria zote nchini. Kikao kazi hicho cha awamu ya kwanza cha siku 8 kilianza kazi Machi 3 na wajibu wake ni kutafsiri sheria 16.Huu ni utekelezaji wa agizo lilitolewa na Waziri
READ MORERaiswa shIrikisho LA miguu Tanzania Wallace Karia amejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania ujumbe was baraza la shirikisho LA kimataifa LA Moira was miguu FIFA COUNCIL kuwakilisha nchi za Afrika zinazozungumza kiingereza Baada ya kushauriana na viongozi wenzake wa Baraza LA Vyama vya Mpira wa miguu Afrika Mashariki na kati CECAFA ambapo yeye ni Raising aliamua
READ MOREBaraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa Tabora, limeazimia kufukuzwa kazi aliyekuwa Muuguzi wa zahanati ya Kalunde, Elipidius Kweyamba, baada ya kupatikana na hatia ya kubaka mwanafunzi na kumpa mimba. Akitangaza maamuzi ya Kamati ya Nidhamu katika kikao cha baraza hilo kilichofanyika jana Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo Ramadhan Shaban Kapela alisema wamefikia hatua hiyo
READ MORE