RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Na Barnabas Kisengi-Chamwino Januari 25 2021 Mbunge wa Jimbo la chamwino mkoani Dodoma Deogratus Ndejembi ambaye pia ni Naibu Waziri ofisini ya Rais menejimeti ya utawala bora na utumishi wa umma ametoa mifuko 430 ya saruji ili kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule za msingi na secondary katika Kata za Itiso, zajilo na
READ MORENa Barnabas kisengi Mpwapwa January 24 2021 Wananchi wa vijiji vya godegode,pwaga na lumuma na vijiji vingine vilivyo jirani na mto kinyasungu unapitisha maji kuelekea gurwe wilayani mpwapwa wameiomba serikali kuwajengea daraja la godegode ili waondokane na adha wanayoipata katika kipindi hichi cha masika wilayani hapo Wakiongea kwa masikitiko makubwa na Jfive one line blog mbele
READ MORENa Barnabas kisengi Tanga January 24 2021 Sakata la uendeshaji wa vituo vya kulelea Watoto Mchana (Day Care Centres) limeendelea kuchukua sura mpya ambapo Mkoani Tanga imebainika kuwa takribani nusu ya vituo Mkoani humo vinaendeshwa kinyemela. Mafisa kutoka Wizara ya Afya-Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii wamefanya ukaguzi katika baadhi ya vituo na kubaini kuwa
READ MORENa Barnabas kisengi. Dodoma Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki amezindua mwongozo wa utoaji wa chanjo dhidi ya magonjwa ya mifugo nchini, wenye lengo la kuhakikisha sekta binafsi na umma zinajua haki na wajibu katika zoezi zima la utoaji wa chanjo na kuhakikisha afya ya mnyama inabaki salama. Waziri Ndaki amebainisha hayo (22.01.2021)
READ MORE24 Januari, 2021 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI AMANI NA USALAMA NI MUHIMU KWA KUVUTIA WAWEKEZAJI-MAJALIWA *Awataka wawekezaji watakaotozwa gharama za ziada wasisite kutoa taarifa WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezindua mwongozo wa uwekezaji mkoa wa Iringa na amesema kwamba Serikali itaendelea kudumisha amani na utulivu ambao ni muhimu kwa wawekezaji na wananchi, hivyo ametoa wito kwa wawekezaji
READ MORETAFADHALI SUBSCRIBE CHANNEL YETU YA JFIVE (YOUTUBE)
READ MORE