RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
READ MORENa Barnabas Kisengi Dodoma Disemba 05, 2021 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Joseph Mafuru amewataka wamiliki wa mabasi na wasimamizi wa mabasi yote jijini hapa kutumia kituo cha mabasi kipya cha Nanenane kilichopo Nzuguni jijini hapa kwa kuanzia safari zao zote katika eneo hilo. Mafuru amesema kuanzia sasa mabasi yote yanatakiwa kuanzia safari zao
READ MORENaibu katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi NADHIFA KEMIKIMBA ametoa siku 60 Kwa mkandarasi SUMA JKT kukamilisha ujenzi wa tank la maji linalojengwa katika kijiji cha Bugiri wilayani chamwino mkoani Dodoma Agizo hilo amelitoa wakati akitembelea miradi mbalimbali ya maji inayajengwa kwa fedha za serikali wilayani chamwino ambapo ndipo ilipo ikulu kubwa ya RAIS wa
READ MORETAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI WAZIRI MKUU AAGIZA VIONGOZI WA AMCOS MBINGA WAKAMATWE WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Ruvuma, Hamza Mwenda ahakikishe anawakamata viongozi wa AMCOS kwa tuhuma za kutoa fedha za wanachama na kuwapa madiwani ili wakawashawishi madiwani wenzao wakubali kubadilisha eneo
READ MORESTATE HOUSE ZANZIBAR OFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE Zanzibar January 04, 2021 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka Wakuu wapya wa Wilaya walioapishwa kuhakikisha kunakuwepo ulinzi na usalama wa kutosha katika Wilaya zao. Dk. Mwinyi ametoa maelekezo hayo wakati alipowaapisha Wakuu wa Wilaya
READ MORE