RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Msemaji wa Simba Haji Manara amesema jumamosi ya terehe 5,2020 itakuwa mwendo wa tik tak tik tak na kuwataka mashabiki wa Simba kuiunga mkono timu yao ili iweze kushinda katika machezo wa marudiano na timu ya Plateau United ya nchini Nigeria. Manara amesema hayo leo alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Serena
READ MORETAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI WAZIRI MKUU AWAONYA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI *Ni wale wanaoendekeza rushwa na kuingilia mchakato wa ununuzi WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa onyo kali kwa wataalamu wa ununuzi na ugavi ambao bado wanaendekeza vitendo viovu kama rushwa, upendeleo, kuingilia michakato ya ununuzi kwamba waache mara moja kwani Serikali haitomhurumia yeyote atakayebainika
READ MOREDODOMA NA. barnabas kisengi WAZIRI Mkuu mstaafu Mizengo Pinda amezitaka Ofisi za Umma kuona Jambo la upandaji miti ni lalazima sio Jambo la hiari katika kuchaingia uhifadhi wa mazingira kwa manufaa ya vizazi vijavyo. Pinda ametoa wito huo leo katika uzinduzi wa upandaji wa miti 800 katika Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC
READ MORETAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI MAJALIWA: VIFO VITOKANAVYO NA UKIMWI VIMEPUNGUA NCHINI WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema uimarishaji wa huduma za tiba ikiwemo matumizi ya dawa za kufubaza virusi vya ukimwi (ARVs) umechangia kupunguza vifo vitokanavyo na UKIMWI kutoka vifo vya watu 85,000 mwaka 2001 hadi kufikia vifo 21,529 mwaka 2019. Waziri Mkuu ameyasema hayo
READ MOREMkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh.Aboubakar Kunenge anatarajiwa kukutana na wafanyabiashara na wawekezaji wa jiji la Dar es salaam Desemba 10,2020 kwenye ukumbi wa mikutano wa mwalimu nyerere posta jijini Dar es salaam. Rc Kunenge amesema lengo la mkutano huo ni kuwek mazingira bora ya uwekezaji na biashara ili kila mmoja aweze kunufaika
READ MORE