…………………………………………………………………… NEC PEMBA Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Konde, Yasini Jabu Hamis amefanya uteuzi wa wagombea kumi na mbili (12) ambao wanawania ubunge ili kujaza nafasi iliyowazi kwenye jimbo hilo. Bw. Hamis amesema kwamba kati ya wagombea hao wanawake ni watatu (3) na wanaume ni tisa (9). Amewataja wagombea hao kuwa ni pamoja na
READ MOREBaadhi ya wanyamapori ambao wameongezwa hifadhi ndogo ya asili Luhira mjini Songea na wanyamapori ambao wapo katika hifadhi hiyo iliyopo katikati ya mji wa Songea Mhifadhi Mkuu wa Wanyamapri kutoka TAWA Asharafu Shemoka akizungumza mara baada ya kuwafikisha salama wanyamapori waliosafirishwa kutoka mkoani Arusha kwa magari hadi hifadhi ya Luhira Songea Mkuu wa Kikosi Dhidi
READ MOREWanachama wa Yanga wamekubali rasmi kuingia katika mfumo wa mabadiliko ya uendeshaji na mabadiliko ya katiba kwenye mkutano mkuu uliofanyika leo June 27,2021 jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Yanga, Dk Mshindo Msolla aliwauliza wanachama kuhusu kuafiki mabadiliko hayo mara baada ya kutambulisha kamati iliyosimamia mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji. Wajumbe waliopitisha mabailiko
READ MOREDiwani wa Kata ya Sandali Manispaa Temeke Mhe. Christopher Kabalika amesoma taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2020-2025 mbele ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi ngazi ya Kata hiyo ikiwa imetimia miezi sita tangu aapishwe kuwa Diwani wa Kata hiyo. Katika taarifa yake, Mhe. Kabalika ameeleza jinsi alivyotekeleza
READ MOREWanafunzi 423 wa shule ya secondary pwaga wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma wanakaa chini kutokana na changamoto ya kutokuwepo na madawati ya kutosha shule hapo. Kutokana na jambo hilo la kutokuwa na madawati ya kutosha shuleni hapo Kumemsukuma Mh Diwani wa Kata ya pwaga Willefred Mgonela kutafuta ufumbunzi wa changamoto hiyo ya madawati kwa kukutana na
READ MORE