- Habari, Kitaifa
- March 20, 2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amepokea salama za pole kutoka kwa kampuni ya WASAFI inayoongozwa na Mkurugenzi mkuu, Nasib Abdul (Dimond Platinum) Dk. Mwinyi alipokea Salamu hizo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na kiongozi huyo na ujumbe aliofuatana nao. Rais Dk. Mwinyi aliushukuru uongozi wa Wasafi uliofika kwa lengo la
READ MORE- Dini, Habari, Kitaifa
- March 19, 2024
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Machi 19, 2024 ameshiriki sherehe ya kuwekwa Wakfu na Kusimikwa kwa Askofu Mpya wa Jimbo jipya la Mafinga ambalo limezaliwa kutoka Jimbo la Iringa, Ndg. Vincent Cosmas Mwagala. Sherehe hizo zimefanyika katika viwanja vya Kanisa Kuu la Kiaskofu jimboni Mafinga vilivyopo katika Wilaya ya Mufindi mkoani
READ MORE- Habari, Kitaifa
- March 18, 2024
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Elimu, Sayansi, na Teknolojia, iandae mpango maalum wa ufadhili wa wataalam wa lugha ya Kiswahili kwenye ngazi ya shahada ya uzamivu ili kukidhi mahitaji sambamba na kuimarisha mafunzo ya lugha kwa ajili ya kuzalisha wataalam na wakalimani wa kiswahili wenye viwango vya kimataifa. Waziri Mkuu ametoa maagizo hayo leo
READ MORE