Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na baadhi ya wazee kijijini kwake Nandagala, wilayani Ruangwa, Lindi tarehe 24 Machi, 2024. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika kijiwe cha kahawa kijijini kwake Nandagala, wilayani Ruangwa, Lindi tarehe 24 Machi, 2024. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia nguo katika moja ya duka lililopo kijijini kwake Nandagala, wilayani Ruangwa, Lindi tarehe 24 Machi, 2024. Kulia ni Mfanyabiashara Jamaldin Ahmad. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza