Nairobi. Aliyekuwa mgombea urais wa Kenya, kupitia wa Azimio la Umoja, Raila Odinga Raila, amekataa matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Agosti 9, 2022, yaliyotangazwa jana na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ya Kenya, Wafula Chebukati. Jana, Chebukati alimtangaza mgombea urais kupitia Kenya Kwanza Dk William Ruto kuwa mshindi kwa kupata kura milioni
READ MORETume ya Uchaguzi Huru na Mipaka (IEBC) imemtangaza aliyekuwa Naibu Rais, William Ruto (55) kuwa Rais Mteule wa Awamu ya Tano kwa tiketi ya Chama cha UDA kufuatia Uchaguzi Mkuu uliofanyika Agosti 9, 2022. Tume imesema Ruto amepata Kura 7,176,141 sawa na asilimia 50.49 huku akifuatiwa na Raila Odinga kutoka Chama cha Azimio la Umoja
READ MOREWananchi wa Kenya Agusti 9, 2022 walijitokeza kupiga kura kumchagua rais wa Taifa hilo huku mchuano mkali ukiwa kati ya Raila Odinga na William Ruto huku wakifuatiwa kwa mbali na wagombea wengine. Fuatilia Matokeo ya Uchaguzi Mkuu Kenya Hapa 👉👉https://elections.nation.africa/
READ MORENa Mwandishi Wetu-India Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Maji wa Jamhuri ya Watu wa India Hon. Gajendra Singh Shekhawat lengo likiwa ni kuleta salam za Shukrani kwa Serikali ya India kutokana na sapoti pamoja na mikopo nafuu inayotolewa kwa Serikali ya Tanzania kutekeleza miradi mbalimbali Nchini ikiwemo mradi
READ MORE