- Habari, Kimataifa
- June 29, 2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Han Zheng alipowasili katika ukumbi wa mkutano wa Complex Building Hunan China, wakati akiendelea na ziara yake Nchini huo leo 28/6/2023.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza laREAD MORE- Habari, Kimataifa
- June 23, 2023
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi leo amekutana na Balozi wa India nchini Mheshimiwa Biyana S.Pradhan ambapo walizungumzia masuala mbalimbali ya Uhusiano na Ushirikiano kati ya Zanzibar na India. Katika mazungumzo hayo Dk. Mwinyi alisifu uhusiano na ushirikiano wa kihistoria uliodumu karne nyingi kati wa wananchi wa Zanzibar
READ MORE- Habari, Kimataifa
- June 22, 2023
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ametembelea Makumbusho ya Fuer Naturkunde Jijini Berlin, Ujerumani tarehe 19 Juni 2023 . Makumbusho haya yamehifadhi mabaki ya Dinosau ( Dinosaur) mkubwa aliyegunduliwa Tanzania Mwaka 1906/07 katika kijiji cha Tendaguru Lindi. Masalia hayo yanakadiriwa kuwepo wakati wa Kipindi cha Jurassic cha mwisho takribani
READ MORE