RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Han Zheng alipowasili katika ukumbi wa mkutano wa Complex Building Hunan China, wakati akiendelea na ziara yake Nchini huo leo 28/6/2023.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la