• SERIKALI YAANZA HATUA ZA UTOAJI ELIMU YA UFUGAJI MASHULENI

    SERIKALI YAANZA HATUA ZA UTOAJI ELIMU YA UFUGAJI MASHULENI0

    Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Abdallah Ulega amesema serikali imeanza hatua za utoaji elimu ya ufugaji kwa wanafunzi kwa kuanzisha Club zitakazowajengea uwezo wa ufugaji na kuwapatia ajira hata baada ya kumaliza masomo yao. Amesema hayo katika hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya kukusanyia na kusindika bidhaa za maziwa kwa vyama

    READ MORE
  • Rais Dkt.Mwinyi Amesema Hayati Dkt. Magufuli amechangia kuikuza lugha ya Kiswahili.

    Rais Dkt.Mwinyi Amesema Hayati Dkt. Magufuli amechangia kuikuza lugha ya Kiswahili.0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Kiswahili kimekuwa ni daraja muhimu la kuimarisha uhusiano na utengamano katika maendeleo ya uchumi, biashara, siasa na diplomasia katika ukanda wa Afrika ya Mashariki, Bara la Afrika na Dunia nzima. Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo leo wakati akifunga Kongamano la

    READ MORE
  • DKT. CHAULA ATAKA UWAJIBIKAJI VYUO VYA MAENDELEO YA JAMII

    DKT. CHAULA ATAKA UWAJIBIKAJI VYUO VYA MAENDELEO YA JAMII0

    Na WMJJWM Iringa Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Zainab Chaula amewataka watumishi wa Chuo cha Maendeleoya Jamii Ruaha kuwa wabunifu na kufanya shughuli za kuwaletea maendeleo. Dkt. Chaula ameyasema hayo leo alipotembelea Chuoni hapo kukagua shughuli na miradi ya Maendeleo.  Dkt. Chaula amesema Vyuo vya Maendeleo ya

    READ MORE
Translate »